Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,681
- 8,708
Happy 23rd birthday dear !! Naomba keki
Happy bday. Have a good moment.
Ofe topic"i only reach 23 years' unamaansha nini?
Happy birthday miss neddy,Mungu akujalie maisha marefu ya Furaha,Amani,Afya njema na mafanikio tele!Uwe mtoto mzuri!Usome,hilo ndo la muhimu sana kwako sasa!
yuko chuo first year...
Happybirthday!!! Afu ulivyoweka hivo vimiaka vyako unanishtua nyongo ujue...itabidi inipize na kakipande ka keki!!!!!
Kidhungu cha Mulugho Deo huwezi kuelewaHappy bday. Have a good moment.
Ofe topic"i only reach 23 years' unamaansha nini?
wakongwe wa ngono?,..ok mi nakumpa ushauri,kwakua mamako anataka uendelee kujirusha ili ufurahie ujana basi usisahau kuwambia wanaume unakutana nao kimwili wawage wanavaa condom.leo i am new born nimetimiza miaka 23 tu my mama anasemaga nisijipe presha za ajabu ajabu nile raha za utoto kwanza
yeye ananiona bado kinda sana ukizingatia ni mtoto wa mwisho ndo kabisaaaaaaaaaaaaaa give me hopes in my future please ukizingatia niko chuo first year nahitaji experience kutoka kwenu wakongwe
anamaanisha bado ni binti mbichi...kind of marketing strategy.Kidhungu cha Mulugho Deo huwezi kuelewa
wakongwe wa ngono?,..ok mi nakumpa ushauri,kwakua mamako anataka uendelee kujirusha ili ufurahie ujana basi usisahau kuwambia wanaume unakutana nao kimwili wawage wanavaa condom.
Vinginevo miaka 35 utaisikia kwenye kipindi cha majira tu,kwani hutoifikia.
leo i am new born nimetimiza miaka 23 tu my mama anasemaga nisijipe presha za ajabu ajabu nile raha za utoto kwanza
yeye ananiona bado kinda sana ukizingatia ni mtoto wa mwisho ndo kabisaaaaaaaaaaaaaa give me hopes in my future please ukizingatia niko chuo first year nahitaji experience kutoka kwenu wakongwe
i mean nimetimiza miaka23
leo i am new born nimetimiza miaka 23 tu my mama anasemaga nisijipe presha za ajabu ajabu nile raha za utoto kwanza
yeye ananiona bado kinda sana ukizingatia ni mtoto wa mwisho ndo kabisaaaaaaaaaaaaaa give me hopes in my future please ukizingatia niko chuo first year nahitaji experience kutoka kwenu wakongwe