trudie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 4,442
- 10,776
Kwanza namshukuru sana mwenyezi Mungu kuiona siku ya leo. Happy birthday to me, leo nimetimiza miaka kadhaa duniani hapa.
Nimeingia floor ya tatu na zaidi, sina mengi niliyofanikiwa ila namshukuru Mungu kwa machache niliyo nayo na ninajivunia.
Kama kuna member nashare nae siku ya kuzaliwa leo namuomba Mungu azidi kutuwekea mkono wake tufike miaka mingi zaidi na Happy birthday kwake pia. Intelligent businessman
Nimeingia floor ya tatu na zaidi, sina mengi niliyofanikiwa ila namshukuru Mungu kwa machache niliyo nayo na ninajivunia.
Kama kuna member nashare nae siku ya kuzaliwa leo namuomba Mungu azidi kutuwekea mkono wake tufike miaka mingi zaidi na Happy birthday kwake pia. Intelligent businessman