Happy birthday my beautiful EstugoAssalaam,
Kheri ya siku ya kuzaliwa kwangu, namshukuru Mungu kwa kuifika siku ya leo nikiwa na afya njema.
Allah anijalie afya njema, anilinde, niishi kwa kumpendeza yeye.
Oooh ushangazi unanikaribia🙂🙂
Happy birthday my beautiful EstugoAssalaam,
Kheri ya siku ya kuzaliwa kwangu, namshukuru Mungu kwa kuifika siku ya leo nikiwa na afya njema.
Allah anijalie afya njema, anilinde, niishi kwa kumpendeza yeye.
Oooh ushangazi unanikaribia🙂🙂
Maharage ya rukwa maji mara ngapi babu?Nipo zangu Rukwa huku nalima zangu maharage saivi
Haya ni Maji mara moja, ni kama ya Mbeya tu 😜Maharage ya rukwa maji mara ngapi babu?
Huko yanakubali ya aina gani? Soko lipoje kipindi cha kuvunaHaya ni Maji mara moja, ni kama ya Mbeya tu 😜
Nikutafutie ekari ngapi Mkuu?
Tutawasiliana Mkuu if you will be interestedHuko yanakubali ya aina gani? Soko lipoje kipindi cha kuvuna
Tutawasiliana wapi nipe ABCD najua sasa utakuwa umemaliza kuvuta kiko ni full kukohoa na kubanja tu 😂Tutawasiliana Mkuu if you will be interested
Kwasasa Wacha nivute Kiko yangu maana sio Kwa arosto hii 😜
Hahaha.........ngoja nikusanye madesa na facts nikutumieTutawasiliana wapi nipe ABCD najua sasa utakuwa umemaliza kuvuta kiko ni full kukohoa na kubanja tu 😂
Wewe nae kisingizio n uzee tu, unakuwa kama timu fulani yenye maskani yake kariakoo na kisingizio chao cha uwanja.😂Hahaha.........ngoja nikusanye madesa na facts nikutumie
Iwapo utakuwa interested unaweza kuanza kujifunza kupitia hayo madesa ya Babu yako
Si unajua Uzee ni kitabu 🤗
Hahaha..........kwamba wewe ni timu "Hatuchezi Ng'oo" 😜Wewe nae kisingizio n uzee tu, unakuwa kama timu fulani yenye maskani yake kariakoo na kisingizio chao cha uwanja.😂
na hatuchezi tenaHahaha..........kwamba wewe ni timu "Hatuchezi Ng'oo" 😜
Kubalini kucheza, Siku ya mechi mtapewa supu ya bure na Engineer Hersi kama enzi zile 😅na hatuchezi tena
Mwaka huu hatutaki chochoteKubalini kucheza, Siku ya mechi mtapewa supu ya bure na Engineer Hersi kama enzi zile 😅
😅😅🙌Mwaka huu hatutaki chochote
Ooooh sikuona mamy,Thanks everyone,
Nisome sasa
Mawardat mamy🥰
Kumbe upo chuo?Thanks everyone,
Nisome sasa
Mawardat mamy🥰
HahahaAssalaam,
Kheri ya siku ya kuzaliwa kwangu, namshukuru Mungu kwa kuifika siku ya leo nikiwa na afya njema.
Allah anijalie afya njema, anilinde, niishi kwa kumpendeza yeye.
Oooh ushangazi unanikaribia🙂🙂