Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 10,297
- 21,699
Kwa kupata gea ya kulewa leoYa nini madam
Kwa kupata gea ya kulewa leoYa nini madam
Hahahah utani tu , ila nikitaka kula bata nafanya hivyo bila kujinyonga nyonga bwasheeUnajua hata mimi nimeshangaa kuwa huwa unatafuta sababu za kulewa mi nlijua sababu kuu ni ukishika moyo bado unapiga vizuri hiyo inatosha 😅😅
4shuaKwa kupata gea ya kulewa leo
Mda mwingine mkidate muda mrefu mnazoeana sana mnashare ups & down nyingi hata ikitokea mmeachana mnajikuta mnawasiliana, mkishafika hiyo point hata ukiingia kwenye mahusiano na mtu mwngn utalamba asali kwa siku mbili tatu baada ya hapo akili inarudi kule kuleKuna kitu kinawaonganisha kama sio Moyo basi kingine.
Kuitana ndo kupendana??Mara kwa mara huitana bila kuchoka.
Weee sema kweli????Mda mwingine mkidate muda mrefu mnazoeana sana mnashare ups & down nyingi hata ikitokea mmeachana mnajikuta mnawasiliana, mkishafika hiyo point hata ukiingia kwenye mahusiano na mtu mwngn utalamba asali kwa siku mbili tatu baada ya hapo akili inarudi kule kule
My love, my Woman,To my man my forever love a partner in crime.To the light of life my Prince Charming, To my soulmate my rock.
To my entire world the man of my dreams. You have always been my number one my favorite.
Happy birthday to my friend my best friend a best friend in deed! Tamu yangu ya muda wote😋💕 I love you even more than I love football!⚽🤭
Wishing you a very happy birthday Sweetheart
Enjoy your day Kibaka wanguuuu 💕💋🥳🎂🎉🎉
Kuna mambo yanapendeza sana...Weee watu na sweethearts waoo
Ngoja aje atupe muongozo
Mambo yenu twawaachia wenyewe
Raha ya kuwa mwananchiii ni kupendwaaa
Happy Birthday Smart wa Mahondaw
Huyu Angel Nylon namdai vikubwa sana... aje hapa abishane...Amen dear! May he live longer!
Wanaodate muda mrefu sijui wanawezaje🙌Mda mwingine mkidate muda mrefu mnazoeana sana mnashare ups & down nyingi hata ikitokea mmeachana mnajikuta mnawasiliana, mkishafika hiyo point hata ukiingia kwenye mahusiano na mtu mwngn utalamba asali kwa siku mbili tatu baada ya hapo akili inarudi kule kule
Eeendiwooo Akupe akupe tototamuuuuuHuyu Angel Nylon namdai vikubwa sana... aje hapa abishane...