Mkuu Kaizer kamati ya ulinzi iko imara kudhibiti magetikrasha kina faizafoxy na malaria sugu.
hepibesdei Roullete!
Popote utakapomwona cacico mwambie namtaka razi. Namwomba msamaha. Nimemletea zawadi ya high heels toka Rome.Happy birthday Roulette......Mungu akupe maisha marefu yenye furaha, amani na upendo!
Kaizer nimekupata ila kutokana na sababu zisizozuilika ile kamati ya vinywaji itabidi ivunjwe tu manake jana imefanya ndivyo sivyo.... PakaJimmy atabakia afu ataeua wengine wa kumsaidia........ platozoom jana katoroka na chupa za watu hivyo popote alipo namuomba azirudishe....... Asprin alilewa sana mpaka akasahau kuwa jana ilikuwa zamu ya kulala kwa cacico akalala kwa BADILI TABIA......hii imeleta ugomvi sana........ @Prteta nae ilivyofika jioni aliamua kujisevia badala ya kusevu kwa wageni waalikwa yaani kama sio TANMO angelala ukumbini jana......
charminglady asipangiwe kazi yoyote manake hata jana hakuweza kushiriki vema amebanwa kidogo...... Remmy alijitahidi sana kuhakikisha mtoto Erickb52 amekuwa mwenye furaha hivyo kwa heshima na taadhima naomba umpe kazi ya kumbeba mtoto Roulette manake yuko vizuri kwenye hiyo idara!....... Catherine asihudhurie kwenye hii sherehe manake jana ametoroka na keki ya b52..... Bishanga jana ametuangusha kwakweli manake alilinda mlango huku amelewa so kuna baadhi ya watu wasio na utu waliweza kuzamia na kuiba baadhi ya vitu kama glass, mapambo nk...... zaidi ya hapo mie sina neno niwatakie tu sherehe njema!
teh teh teh!! hata nyani haogopewi!!Nyie princess enny na charminglady mnaogopa manyoya??
Hebu kamuni zis wei banaaa.... Simba ana manyoya na anafuatwa itakuwa mie bana?
naomba kupima kichwa chako huwa kinawaza nini?? wallah mume sina! khaaaaaaaaaaaaa!Tutaenda zoo kuangalia wanyama
Elizabeth Dominic tafadhal uskose kwenye huu mnuso , uje ukiwa umeupara hivo hivo....utakuwa na jukumu maalum wasiliana na sweetlady tafadhali......mwaaaah.Happy Bday Roulette Mwenyezi Mungu akupe heri maisha yako yote.
MUUMBA WANGU JUU aninusuru na hii makitu ya huyu mume wallah! lol! thanx hubby, sina budi kukusamehe na kupokea zawadi. haya leo tena kwa Roulette usijitoe akili ukalala kwingine! natoa warning mapemaaaaaaa!Popote utakapomwona cacico mwambie namtaka razi. Namwomba msamaha. Nimemletea zawadi ya high heels toka Rome.
nipo baba navumilia! mwanaume huyu sijapata kuona! amesema nikithubutu tu kumkimbia mabwepande ndio utakwenda kuniokota! so inabidi nivumilie!Mamaako analia juu yako kila siku mwanangu wa kufikia...anasema kila akikukumbuka maziwa yanavimba na kumuuma!
Sijui ni kwaajili ya huyo kibabu uliye naye...hebu nambie ukweli kabisa mwanangu, anakutesa au ni yale mambo ya kawaida ya nanihii!...hata kama anazidisha niambie tu, usifiche kitu, maana kuna kipimo!...We ni mwangu tu, lazima nikutetee kwa lolote!
MUUMBA WANGU JUU aninusuru na hii makitu ya huyu mume wallah! lol! thanx hubby, sina budi kukusamehe na kupokea zawadi. haya leo tena kwa Roulette usijitoe akili ukalala kwingine! natoa warning mapemaaaaaaa!
Popote utakapomwona cacico mwambie namtaka razi. Namwomba msamaha. Nimemletea zawadi ya high heels toka Rome.
hommie Asprin, mwongozo wangu ni kwamba wewe na wake zako Yummy, cacico, BADILI TABIA chini ya usimamizi wa Kongosho, tafadhal muwe na subra wakati wa hii sherehe , msije mkamtisha mtoto Roulette na mambo yenu ya kikubwa.....hasa BADILI TABIA.
Na hivi kamati ya vinywaji imevunjwa sijui tukuweke kwen picha? eti sweetlady unaonaje akawa fotografa?