Yaani sina budi kuacha kazi yangu japo kwa dk 2 tu ili niseme HAPPY BIRTHDAY Nguruvi3!
Yaani wewe ni kati ya watu ninao waheshimu sana hapa JF hasa jukwaa la siasa!....yaani nakili
kutoka ndani ya moyo wangu mtu kama wewe Nguruvi3,Mwanakijiji,Mkandara,Pasco,EMT,
Mchambuzi,Nazdaz,Faiza Fox,Kiranga,Mohamed Saidi wa kk gerezani nk. nathamini sana mada
zenu na hoja zenu zilizoenda shule hasa!. to be honesty mijadala yenu humu ndani imenifungua
sana na kuniongezea uelewa ndani ya kichwa changu!....Happy birthday Nguruvi3