Amini na atubariki soteHappy birthday mkuu!!
Mungu akujalie afya njema, neema, upendo, amani na zaidi aendelee kukupa HEKIMA.
Shukrani sanaMkuu Nguruvi3 Kila la Kheri katika siku ya kuzaliwa kwako...:hat:
Ahsante WLHappy birthday mkuu Nguruvi3,huwa napenda michango yako sana nakuombea kila lililo jema.
Mh, ama kweli hii kubwa, Katavi kaandika mstari mzima! ha ha ha ha haHappy birthday Nguruvi3. Mwenyezi Mungu akujaalie maisha marefu.....
Tubarikiwe sote. Rudisha ile avatar ya zamani, ha ha hahili ni jembe la JF //ubarikiwe
ShukranHappy birthday Nguruvi3,
Nakutakia kila la heri leo siku ya birthday yako na kwa siku 365 zinazo kuja (hadi next birthday)!
View attachment 43044
Ha ha ha nipo, leo 'mtoto' yuko kwenye stroller, Katavi ndiye anakusanya hizo keki na zawadi. Katavi akiwa tapeli basi zitakuwa zimebaki siku 10 dunia inakwisha! ha ha haSasa mwenyewe yuko wapi jamani? KAtavi kajileta hapa anataka akabdhiwe zawadi za Nguruvi3, zitakua salama kweli? Ukute hata sio birthday yake, ni utapeli wa Katavi tu...
He! list ya saggitarius inaongezeka. Happy birthday DA ingawa too little too late but better late than neverKumbe tumepishana siku moja tu na wewe??
Hongera mie nishaanza kuzeeka "Happy Birthday"
Merci Preta, tre tre gentil. Oh la la! formidable.Feliz Cumpleanos.....Nguruvi3
Thanks so muchHappy birthday dear.
Tunajuana kaka, tena we hii tabia unaipenda, ya kuwahi watu mlangoni kabla hawajajua kinacho endelea. Kule jukwaa la utambuzi ndio kwako.Ahahahaah!! Mimi sio tapeli, zawadi zote zitamfikia zipo kwenye mikono salama!
Aaah kumbe? asante kutujulisha. Samahani katavi... 🙂Ha ha ha nipo, leo 'mtoto' yuko kwenye stroller, Katavi ndiye anakusanya hizo keki na zawadi. Katavi akiwa tapeli basi zitakuwa zimebaki siku 10 dunia inakwisha! ha ha ha