nameless girl
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 4,195
- 2,685
Happy Birthday dear..!!
Thank u dear...
Happy Birthday dear..!!
kumbe kazaliwa leo!!!
Hbd....
Hahahaaaaaaa nilijipunguza tu, nna 56 lol...
Wewe mtoto wewe,hujatimiza hata wiki umeiashakuwa mjanjanja hivi,kwa taarifa yako mi nina 70 nilikuwa nimekosea kuhesabu!Nipe heshima yangu nameless girl
Himidini huyu mtoto aliyezaliwa leo anakataa kutoa shikamoo kwa wakubwa,,eti kwani katimiza miaka kumi na ngapi??Hahahaaaa sijui nikuitie Himidini athibitishe nilivokuzidi miaka!!!
Happy birthday Asprin oooh sorry I mean nameless girl, hongera sana
Heri ya kuzaliwa,upunguze ubishani//LAWYER
Happy birthday ya siku yako ya kuzaliwa nameless girl. I WANNA GIVE U A NAME U KNOW..
Hajakosea, inawezekana ni mpango wa Mungu uwe mchepuko wangu mkuu. Umemsoma Kaizer hapo juu?
Una akili sana kijana. Popote ulipo nameless girl, kam zis way chapchap nikubatize jina uitwe mjamzito.
Ntakwambia PM, ukilikubali ndo tulilete hadharani kwa kuhani mkuu Asprin
Hahahaaaaaaa babu bwana.... kwa umri wako hata maini yako yatakua yamezeeka lol... ila maneno yako hata hayana dalili ya uzee..
hivi humu jf mnajuwaje tarehe ya mtu aliyozaliwa? au just for fun?