Happy birthday Mzigua90

We mwanamke umepoteaaa. Thank you love. Kama uko mjini Ijumaa tuonane tule biriani
Nilipotea sana mpenzi wangu, ila sasa niko hewani kama kawaida.....
Jamani kipenzi, nimehamia makao makuu mwaka wa pili sasa Mzigua90
Sema lile biriani na bata tunazokula, navimiss sana.....ila ninatafuta weekend moja nije tuenjoy mwaya...maisha yenyewe mafupi sana best angu.
 
Nilipotea sana mpenzi wangu, ila sasa niko hewani kama kawaida.....
Jamani kipenzi, nimehamia makao makuu mwaka wa pili sasa Mzigua90
Sema lile biriani na bata tunazokula, navimiss sana.....ila ninatafuta weekend moja nije tuenjoy mwaya...maisha yenyewe mafupi sana best angu.
Na mie siku si nyingi nitakuja huko. Nitakucheck
 
IMG_2298.jpg

Keki hiyo

H. B. D
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom