Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,554
- 11,485
Mungu ni mwema....!mwaka ndo ushaisha hivo afu sijafanikiwa bado duh
Utafanikiwa...zidisha bidii na maombi!
Mungu ni mwema....!mwaka ndo ushaisha hivo afu sijafanikiwa bado duh
Hahahaaanzuri mbona ulipotea jaman
mkeo anakufungia hivo....
Hahahaaa
Mke wangu hana shida ndio maana ye yupo muda wote.
Mi mambo ya kizalendo ndio yananibana Heaven on Earth
Nitarudi jumla usijali ni muda tu
ukiolewa ni kama umeingia jela alinisumbua wakati wa kumtongoza kakubali mwenyewe kuingia ndoani wacha nimtwale na kumfanya nipendavyo farkhina haraka nasema rudi nyumbani tena nikukute ukiwa nakedMwachie uhuru kidogo ajiachie bwana akikukimbia hapa unaanza kulialia ukumbuki ulivompata kwa shida
ha ha ha yani nimecheka mpaka nimeangusha uporo wangu wa wali......si wahenga husema binamu nyama ya hamu au nakosea??Bina Bina we binamu yangu hao wengine kuna vitu naweza kupata kwao
ambavyo kwa bina ni haramu kunipa
hebu niulizie shogayo farkhina besdei yake lini nataka nimsapraiziAmeeeeeenn shem
na mimba atampelekea naniMabwaku utaachwa
hebu niulizie shogayo farkhina besdei yake lini nataka nimsapraizi
unajua tangu tuwe wote inaonesha hanitak kabisa vitu hivo haniambii kabisaMkeo hujui besidei yake ebu acha aibu
na mimba atampelekea nani
unajua tangu tuwe wote inaonesha hanitak kabisa vitu hivo haniambii kabisa
nilivyoupatia taabu mzigo niuchelewesha tenaHapo umemshika ucheleweshi hata mwezi bado ushamchosha mwenzio
mbn waniwekea wingu shem?Muulize mama mkwe
Hongera kwa siku ya kuzaliwa kwako shansarie!
Mungu akupe afya njema kama ya Mkapa na good looking face kama ya mke wake!
ww una utani wa ngumi
KaribuuuuuThat one I can understand
sie utakukuta....nilivokumiss ungekuwa karibu
ningekuwao