klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,147
dah hiyo keki ya pili anaeweza kuitengeneza aniambie nitoe oda aisee ...
happy b day LIZZY......
Una personality iko very strong....
dont change please...
kuna kitu about you unique....
i cant say what it is...but be happy and stay strong....
Hapa mzembe niko fulu bling bling, demu akiniongelesha kiswahili naziba pua. laleki!Ankal ndio unakula mingo ya kuingia kwenye sherehe nakuona hapo haya banaa:eyebrows::eyebrows:
Mzembe wa Tandale tatizo lako la kukesha kwa mama muuza haujaliacha tu, dah halafu siku hizi una mshumaa:juggle::eyebrows:Dah nilikuwa nawahi kurusha sredi kumbe mzembe wa kwa mtogole keshairembea hewani. Khaa mishen imebaunz!
Hepi besdei ka new born lizzy.
Halaf naomba ukuje huku kuzima huu mshumaaa wangu, nimeuwasha kwa mkono tangu saa sita nakusubiria na nitaendelea kuhakikisha hauzimiki mpaka unafika.
Hapo red hapo!Wifi lizzy,
Ur bday is a special time to celebrate u, to cherish and adore u. For a wonderful wifi like u, there is no need to celebrate u once a year. From now on,kila siku itakua ur 'pretend bday', bt happy true bday my dear. Asante kwa kumtunza kaka yetu
Dah!! Unakaba leo Lizzy atapata shida sana maana wale wahuni wa Tandale kwa mtogole lazima wanywe hadi walazwe hospitali nasikia mzee utatinga kitaa na binti full mauzoHapa mzembe niko fulu bling bling, demu akiniongelesha kiswahili naziba pua. laleki!
Ka mshumaa kadooogo kwa ajili ya lizzy, lakini lizzy kanamtosha, ka lizzy kenyewe kana matatizo ,kakipuliza muda mrefu kanaona kizunguzungu.Mzembe wa Tandale tatizo lako la kukesha kwa mama muuza haujaliacha tu, dah halafu siku hizi una mshumaa:juggle::eyebrows:
Hapo red hapo!
Nitachafua sherehe muda si mrefu.
Dah!! Unakaba leo Lizzy atapata shida sana maana wale wahuni wa Tandale kwa mtogole lazima wanywe hadi walazwe hospitali nasikia mzee utatinga kitaa na binti full mauzo
Na wewe gongo linakulandua akili! Vuta bhange kichwa ikae sawa! Umenisahau mie mdogo wako,jina la home liligoma kusajiliwa jf,kha!
Halafu nakuchukia ile mbaya .... :nerd::nerd:
Nimeanza na kicheko hapo kwenye L huyo popobawa anafanya nini...hahaha
Halafu nakuchukia ile mbaya .... :nerd::nerd:
Mara ya mwisho kuvuta msuba nilijikuta nasifia na kuvutiwa na makalio ya mende. Laleki! zake majani
Haya kamanda ngoja tuone sherehe itakavyoisha kama hatujaishia kukubeba kwenye machela leoLeo bega kwa bega na mrembo anakwenda kwa nembo ya halle berry wa manzese, vidada vya JF bora visihuzurie tu, vitaishia kuzimia bila kifafa. Mimi ndo faifu star kloro bana