Happy Birthday KOKUTONA

Happy Birthday KOKUTONA

Tuwapeleke kwenye lile hoteli linalovuja mvua ikinyesha ndo wapiganie huko kama! Viwanja vya wastaarabu hakuna ngumi; kuna kurushiana ofa za vinywaji tu - WASIKILIZE WALE MEZA JIRANI.
Kabisa mkuu au wakubaliane wawe nae wote watatu kwa zamu wanapeana zamu tuu siku ziko saba kila mtu apate siku zake mbili na siku moja iliyobaki bibie apumzike
 
Kabisa mkuu au wakubaliane wawe nae wote watatu kwa zamu wanapeana zamu tuu siku ziko saba kila mtu apate siku zake mbili na siku moja iliyobaki bibie apumzike

Ha ha haaaaa yaani nyie....yani utadhani una negotiate bidhaa sokoni
 
Tuwapeleke kwenye lile hoteli linalovuja mvua ikinyesha ndo wapiganie huko kama! Viwanja vya wastaarabu hakuna ngumi; kuna kurushiana ofa za vinywaji tu - WASIKILIZE WALE MEZA JIRANI.

Mhhhhhh!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom