Happy birthday kimey!

aisee piijeei HIVI KAZI NILIYOKUPA ILIKUSHINDA KABISA?
Mchakato unaendelea broda, na ndo niko kwenye hatua za mwisho kuikamilisha!
Tegemea majibu soon, lakini kwa kukudokezea tu ni kwamba huyu m-bidada sasa hivi ameanzisha mawasiliano ya karibu na MTM!, JAMBO AMBALO LINAMUUMA SANA kIMMEY!
 
Mchakato unaendelea broda, na ndo niko kwenye hatua za mwisho kuikamilisha!
Tegemea majibu soon, lakini kwa kukudokezea tu ni kwamba huyu m-bidada sasa hivi ameanzisha mawasiliano ya karibu na MTM!, JAMBO AMBALO LINAMUUMA SANA kIMMEY!

HAHAHA!
ameanzisha mawasiliano na MTM?...

SEMA KWELI?!...
 

Babu sahau alika mimi:A S 20:
 
sasa wiselady mi nadhani swala hili tulimalize mimi na wewe...!

haiwezekani mshenga anatumwa halafu anatokomea NGARENARO......!kama DOGO JANJA

hahaha dongo janja ni mtoto wa PJ ujue,,tuachane na washenga it should be me n u
tena mshenga mwenyewe PJ!!!!!!!!!!!!!!!
 
hahaha dongo janja ni mtoto wa PJ ujue,,tuachane na washenga it should be me n u
tena mshenga mwenyewe PJ!!!!!!!!!!!!!!!

hahahaha!
dogo janja ni mtoto wa PIIJEEI?
SEMA KWELI???!!!!
 
Happy birthrday Kimey,
Mungu akujalie uishi miaka mingi mpaka usahau mwaka na tarehe uliozaliwa.
 
Thanx dear!
Nawashukuru wazazi wangu wakati wowote ushauri wao umeniltea mafanikio mema,
Sasa naishi na watu vizuri eee!


"Huku ninakoishi ni mbali sina ndugu!

Najiona kwamba, niko nyumbani....najiona kwamba, niko nyumbani ee mama....."

Habari yake hommie

Happy besidei ya kuzaliwa bana..

Ujumbe wa leo, "usipoutwanga, utaula mbichi"
 
hahaha dongo janja ni mtoto wa PJ ujue,,tuachane na washenga it should be me n u
tena mshenga mwenyewe PJ!!!!!!!!!!!!!!!
Ulivyo msanii, najua utam'break-heart Teamo soon!...
Shida ya Teamo ni kwamba akishapenda anauza nyumba ya URITHI ILI ili ajenge HESHIMA kwako!
Sasa bora astuke mapema, nisham-DIPU, atanipigia sasa hivi!!
 
Ulivyo msanii, najua utam'break-heart Teamo soon!...
Shida ya Teamo ni kwamba akishapenda anauza nyumba ya URITHI ILI ili ajenge HESHIMA kwako!
Sasa bora astuke mapema, nisham-DIPU, atanipigia sasa hivi!!

taratibu basi pj usiniharibie mambo mengine ni mm na wewe bana,,,niachie mfalme wa amani kwa leo maana umezidi sasa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…