sijambo seint,,habari yake seint?
The st. yuko poa kila wakati....btw: hapa kuna kaugomvi flani eh?
sijambo seint,,habari yake seint?
Thank Maria for a wondeful wish! Blue monday with hangover kibao!
mwanajamii hapo kwenye bold hapo kumbuka unagusa maslahi angu kabisa kabisa....We Babu Kimey
Umekubalije kuhapibethideishwa wakati Mjukuu Mtiifu hayupo??
HAPPY BIRTHDAY BABU
WL Nibeep jioni ya LEO ........HAKIKISHA UMETEKELEZA AMRI HII.
Imesainiwa na MwanajamiiOne kwa ajili ya Utekelezaji.
We Babu Kimey
Umekubalije kuhapibethideishwa wakati Mjukuu Mtiifu hayupo??
HAPPY BIRTHDAY BABU
WL Nibeep jioni ya LEO ........HAKIKISHA UMETEKELEZA AMRI HII.
Imesainiwa na MwanajamiiOne kwa ajili ya Utekelezaji.
Babu Teamo ndo nataka nikuhakikishie uendelevu (sustainability) ya maslahi yako sasa.................Ndo naanza hivyo...........mwanajamii hapo kwenye bold hapo kumbuka unagusa maslahi angu kabisa kabisa....
make sure unanipigia