Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,908
- 7,751
Mzee John (Jumanne?) Malecella anatimiza miaka 80 leo.
Tunamshukuru Mungu kwa kumpa uhai mrefu maana maandiko yanatuambia umri wa kuishi sana sana ni 70 yrs.
Mzee Malecella anastahili kupongezwa na kushirikiana nae katika kumwombea Mungu amzidishie umri maana mchango wake kwa taifa hili si haba.
Nilipomtembelea nyumbani kwake ile njia ya kuelekea ukumbi wa Kilimani Dodoma miaka ya Karibuni aliniambia maneno mengi ya busara sana hasa baada ya kumwambia nina mpango wa kugombea ubunge jimbo langu la Chalinze lakini kwa chama dume, Chadema.
Bado namkumbuka aliponiambia kuwa Chadema tuna nafasi ya kuchukua dola kwakuws CCM ambayo yeye amekuwa makamu wake kwa 10yrs hivi sasa ni ya hovyo.
Leo mzee wetu umetimiza 80 years. Mungu akupe maisha marefu mzee Malecella. Uwe hai uishuhudie Tanganyika yako uliyoipigania hadi kuondolewa u-pm ikirudi.
Happy birthday John (Jumanne?) Cigwiyemisi Samuel Malecella
Tunamshukuru Mungu kwa kumpa uhai mrefu maana maandiko yanatuambia umri wa kuishi sana sana ni 70 yrs.
Mzee Malecella anastahili kupongezwa na kushirikiana nae katika kumwombea Mungu amzidishie umri maana mchango wake kwa taifa hili si haba.
Nilipomtembelea nyumbani kwake ile njia ya kuelekea ukumbi wa Kilimani Dodoma miaka ya Karibuni aliniambia maneno mengi ya busara sana hasa baada ya kumwambia nina mpango wa kugombea ubunge jimbo langu la Chalinze lakini kwa chama dume, Chadema.
Bado namkumbuka aliponiambia kuwa Chadema tuna nafasi ya kuchukua dola kwakuws CCM ambayo yeye amekuwa makamu wake kwa 10yrs hivi sasa ni ya hovyo.
Leo mzee wetu umetimiza 80 years. Mungu akupe maisha marefu mzee Malecella. Uwe hai uishuhudie Tanganyika yako uliyoipigania hadi kuondolewa u-pm ikirudi.
Happy birthday John (Jumanne?) Cigwiyemisi Samuel Malecella