Humorous Junior
JF-Expert Member
- Jul 19, 2018
- 1,598
- 1,408
NIMEZALIWA PAMOJA NA MTU HUYU HAPA https://en.wikipedia.org/wiki/Steven_Blankaart
Dah ,May 29
Mwanawanee tuna share besideyiAisee, it seems my birth date is rare!
6th August
August 14 nipoona sasa umechelewa mpaka tumepishana masaa.Uvivu wako wakutoka umesababisha yote hayo.
August 14
mimi wa 4Hahaha. Watu wamekomaa kama wanasedere matokeo ya form 2.
Mi nimepata wawili so we are three
14 august
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah aisee nimetafuta sana mwenzangu nikakosa nahisi humu JF tupo mm na ww tu wa tarehe hiyo.