Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Hongera mjomba, kwa leo 7th july kutimiza umri wa miaka 33.ni umri wa kijana wa makamu na inabidi sasa uanze kuenenda kama umri wako, what do i mean by this?
Namaanisha sasa uache ile tabia ya kuropoka hovyo bungeni na kutumiwa kama afisa mipasho wa chama.
Kadhalika ,tumeshuhudia ukikiongoza chama chako kupoteza kiti cha ubunge jimbo la arumeru mashariki, kana kwamba ukistaajabu ya musa, majuzi tena bungeni umekurupuka na kukishutumu chadema kuhusika na mgomo wa madaktari na ukashindwa kuthibitisha:
Ni matarajio yangu kuwa kwa umri uliofikia leo, utajirekebisha uropokaji na kuanza kuishi kisomi na ki-kijana wa makamo!! nakutakia afya njema na mungu akujaalie busara kadri unavoongezeka umri!!
Happy birthday Mwigulu Nchemba
Ukichanganya na anavyobebwa na "mh. mwenyekiti" hiyo kazi anaiweza sana.