1.LEO MTOTO WA KIKE DENA AMSI AMEZALIWA......HONGERA SANA DENA KUTIMIZA MIAKA....??...LEO
2.MUNGU AKULINDE,AKUBARIKI NA AKUZIDISHIE MILELE NA MILELE.
Leo wana JF tunaunganisha sherehe za miaka 50 tunaanzia hapahapa, tunaanza na hii ya DENA, KESHO UHURU.......
kufikia jumatatu kimeeleweka. Sijui viwanja/maeneo gani vinafaa, Kule kwangu TANDALE KWA MTOGOLE HAKUFAI KUNA MATOPE. LEO MVUA KUBWA. Sijui tukaanzie kule kule kwenye maonyesho VIWANJA VYA sabasaba??.
Leteni mapendekezo wapi safi na daaaaaah kaubaridi ka leo???? Mwenye kutumia konyagi sawa, mwenye kunywa mbege poa,
na mnywaji wa Mtakatifu Anna ( SAINT ANNA) sawa vilevile, Haya niambieni ni wapi na utatumia nini?? mjue mimi mwenyekiti wa kamati ya sherehe......weka mapendekezo hapa live....PM haziruhusiwi.
HAPPY BIRHDAY DENA AMSI
2.MUNGU AKULINDE,AKUBARIKI NA AKUZIDISHIE MILELE NA MILELE.
Leo wana JF tunaunganisha sherehe za miaka 50 tunaanzia hapahapa, tunaanza na hii ya DENA, KESHO UHURU.......
kufikia jumatatu kimeeleweka. Sijui viwanja/maeneo gani vinafaa, Kule kwangu TANDALE KWA MTOGOLE HAKUFAI KUNA MATOPE. LEO MVUA KUBWA. Sijui tukaanzie kule kule kwenye maonyesho VIWANJA VYA sabasaba??.
Leteni mapendekezo wapi safi na daaaaaah kaubaridi ka leo???? Mwenye kutumia konyagi sawa, mwenye kunywa mbege poa,
na mnywaji wa Mtakatifu Anna ( SAINT ANNA) sawa vilevile, Haya niambieni ni wapi na utatumia nini?? mjue mimi mwenyekiti wa kamati ya sherehe......weka mapendekezo hapa live....PM haziruhusiwi.
HAPPY BIRHDAY DENA AMSI