Happy Birthday DaMie.

Happy Birthday DaMie.

Happy birthday Damie, so nice una turn 16 sasa, baada ya miaka miwili utapata access ya lile jukwaa la wakubwa.........

nipe mwongozo leo Pub Alberto?
Mwongozo umeshakamilika wewe ni kukaa mkao wa kula kaka Kaizer, yaani leo sipati picha.
 
Happy birthday Damie, so nice una turn 16 sasa, baada ya miaka miwili utapata access ya lile jukwaa la wakubwa.........

nipe mwongozo leo Pub Alberto?

ha ha ha ningejua ningeongeza umri, yaani mpaka miaka 2 ipite tena ndo niweze kuingia jukwaa lile. Wasiliana na lovenes kwa mwongozo zaidi.
 
ha ha ha ningejua ningeongeza umri, yaani mpaka miaka 2 ipite tena ndo niweze kuingia jukwaa lile. Wasiliana na lovenes kwa mwongozo zaidi.


mmmh...ako wapi sa ivi....nina kiu
 
furaha ya siku kuzaliwa kwakoo, furaha ya siku ya kuzaliwa kwako, furaha ya siku ya kuzaliwa DaMie.
ukianza kimba imba kwa sauti ya nne maana ndio itapendeza zaidi.
Enjoy the day sweetie
 
furaha ya siku kuzaliwa kwakoo, furaha ya siku ya kuzaliwa kwako, furaha ya siku ya kuzaliwa DaMie.
ukianza kimba imba kwa sauti ya nne maana ndio itapendeza zaidi.
Enjoy the day sweetie

Ah, itabidi nisaidiwe kwani kwa miaka ya leo16 nayofika sauti ya 4 imenikataa.
 
kuanzia unique then pub alberto badae zaidi chakos usile uje tumbo wazi. Karibu sana.
Vipi "Wenyeji " wanapatikana?...Dodoma pana baridi bana!..kama huna mwenyeji utaishia unazunguka ONE WAY hadi kukuche!
 
teh teh usikose bac, c unapakumbuka pale pa mwaka jana

Usikumbushe ya mwaka jana, maana ilikuwa funga kazi, unamkumbuka yule mama alipanda juu ya kaunta na kuanza kucheza taarabu?, usiache kumwalika plz! Subi nae asikose c unakumbuka we came from long way!
 
Back
Top Bottom