DaMie
JF-Expert Member
- Mar 24, 2010
- 684
- 171
Vipi "Wenyeji " wanapatikana?...Dodoma pana baridi bana!..kama huna mwenyeji utaishia unazunguka ONE WAY hadi kukuche!
PJ wenyeji tele tele.
Vipi "Wenyeji " wanapatikana?...Dodoma pana baridi bana!..kama huna mwenyeji utaishia unazunguka ONE WAY hadi kukuche!
Usikumbushe ya mwaka jana, maana ilikuwa funga kazi, unamkumbuka yule mama alipanda juu ya kaunta na kuanza kucheza taarabu?, usiache kumwalika plz! Subi nae asikose c unakumbuka we came from long way!
Watu wanajitoa dada yangu yaani *Finest* kanijuza liko tayari na Fidel180 ameshatoa sub scania kwa ajili ya kusafirisha.
Sina pingamizi na hilo inaonekana huyo wenye vinyota ni balaa, naunga mkono hoja.wote waaminiwe kasoro huyo kwenye vinyota.
H-B DaMie
Halafu wewe!!japo nitakuwa nimelate lakini si sana, natumai umefurahia siku yako na Mungu akutangulie ktk kila jambo
DaMie kontena lilifika salama?
japo nitakuwa nimelate lakini si sana, natumai umefurahia siku yako na Mungu akutangulie ktk kila jambo
Nachukua fursa hii kukutakia kila la kheri katika kusherekea sikukuu ya kuzaliwa kwako. Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu yenye baraka tele, akupe zaidi kipato na akuwezeshe kuwa mvumilivu na mwenye hekima katika siku za uhai wako.
Mwisho tumia siku yako ya leo kujifunza mapungufu yako ili uyarekebishe na mazuri yako ili uyaendeleze. Samehe na sahau wote waliokukosea, Mungu atakufanya uwe mpya.
Mabox ya zawadi nimeahidiwa yanaletwa na other JF members kama akina MaxenceMelo, Kimey, Kaizer, Preta, PakaJimmy, Fidel180, Asprini, Finest, MwanaJamii One, MariaRoza, BigMama, Afrodensi, WiseLady, LilyFlower, DenaAmsi na wengine wengi tu wanakufahamu, jiandae kwa mapokezi.
Walitaka kulichakachua kontena waondoke nalo ndio nikawa nimesimama kidete ili wasiondoke naloKontena ilifika salama, Nilijisikia tofauti kwa kukosekana kwako, au jitihada za kutoa kontena zilikuchosha
Happy Birthday Mungu akujaalie maisha marefu zaidi lane: lane:
Asante MamiiHongera mamii