hivi sikufuta hiyo comment?
Ka ajali tu kidogo,nilibanwa nikahisi mbavu na mkono wa kushoto vimeondoka.
Masikhara mkuuHskuna nilipoudhi, acha ufala
Si bado uko virgin..
Akuache ukue kidogo.
Kumbe panamitusi mipya mioyo alafu hamsemiπUdugu Antonnia kirikou anasema humzingatii eti ππππ
Emu mchangamshe kidogo na ile mitrusi yako akapate usingizi
Kwendraa nawe mfyuuu!! ππππ jirani besidei pate njema
Nta thanks sana dear sisUnywe juice sasa usinywe mitungi hiyo bado mdogo eeh, kesho ntakutumia 1000 ya juice
Jf Raha tupuπ€£π€£Nikuletee upakwe asareeee uduguuu??? π€π€
Waaaachaa weee udugu
Ndiomana umeamua kurudi uendelee kurambwa
Itabidi nimlete wangu achukue ujuzi na me nirambwe
πππ Uniazime King mswati anipake uduguNikuletee upakwe asareeee uduguuu??? π€π€
π ngoja nyumba yako iwake moto ndio utajua umuhim wa jiraniKwendraa nawe mfyuuu!! πππ
Ahsanteee ba tamu wa mchongoo, niletee zawadi sasaBado sijacherewa kwakua sikuambiwa na hiki kiherehere changu Wacha nikuone hongera kwa kuendelea kuzeeka
Mbn kama swart inaharufu mbaya kama ya maviππππ Uniazime King mswati anipake udugu
Cake itoke wapiii, km wee ba tamu ni apeche alolo,Mwenye shughuli kuja hivi kuna keki kwer apa
Umekula kabla ya kujoin jf? Unaelewa maana ya King mswati au tukueleweshe na bakora?! Umezoea kucheza na kinnyesi mpk ukiona maandishi unahisi kinyes?Mbn kama swart inaharufu mbaya kama ya maviπ
Ninakufa na umasikini niliotengenezewa na ww haki π€£π€£Cake itoke wapiii, km wee ba tamu ni apeche alolo,
mwanaume maskinii weyee.
Fanya hivo udugu ake ππππUsijareee kabesa uduguuu limeisha hilooo..
Anything for him you know π€π€£π΄π΄π΄