Hata ubaba hajafikia, ni mkakaMi nahisi ni mbaba ila katika uzee sidhani kama kafikia
Msimmalizie tuu vijisenti vya uzeeni...Tena nimemsogezea nyama za kutosha
Siku hizi tunapenda wazee manake wanajua kubembeleza afu hawasumbui
Dah...tofauti kati ya mzee na kijana ni "nguvu za misuli"...
Hebu muache mzee wetu




Dah....Yeye bado ana misuli ya kutosha
