Hapo ndipo chumbani kwangu munasemaje?

Hapo ndipo chumbani kwangu munasemaje?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,037
Reaction score
34,741
416882_413023922085175_1057031597_n.jpg


Chumbani kwangu hapo munasemaje wabongo???????????????
 
Its lovely mzizi! sijui tunakaribishwa hata kwa usiku mmoja? In your absence lakini
 
Hayo maandishi hapo ukutani chumbani kwako hebu yatafsiri kwanza
Mkuu Soki hayo maandishi maaan yake ni hivi kwa lugha ya kiswahili (KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU) Shetani hawezi kuingia nyumbani pangu ninapoishi ukiweka hayo maandishi shetani hawezi kupasogelea hapo karibu na hicho kitanda changu.

Its lovely mzizi! sijui tunakaribishwa hata kwa usiku mmoja? In your absence lakini
bibie kuberwa karibu unakaribishwa utakula kila kitu matunda ya kila aina Bia hakuna wala junk food hakuna utakunywa juice za orignal sio feki karibu unakaribishwa.

Maalim Mzizi, hizi ni barkah kubwa kubwa, inshaalah, nami siku moja ntafika hapo.
Mkuu Mbuzi Mzee Unakaribishwa kwa mikono miwili karibu ukaribie kaka.
 
Last edited by a moderator:
Mbona wengine wanayo hayo maandishi lakini mashetani kwa sana?
 
  • Thanks
Reactions: awp
Mkuu Ambitious mkuu hiyo Rangi ya kijani ndio ninayoipenda mimi ni rangi ya amani sio Rangi ya matatizo karibu unakaribishwa mkuu.

Ningekuwa na chumba chako lazima nengechelewa kibaruani siku za kwanza..stupendously comfy room!!!
 
Last edited by a moderator:
Mbona wengine wanayo hayo maandishi lakini mashetani kwa sana?
kwa sababu hawana

imani nao hayataweza kuwasaidia hayo maandishi ikiwa huna imani nayo mimi nina imani na hayo maandishi nina imani na

Quran na biblia pia nina imani nayo zote zinanisaidia na hakuna kitu kitachoweza kunishinda mkuu Soki nina silaha kuu mbili

Biblia na Quran siogopi kitu ila nina muogopa Mwenyeezi Mungu tu ndio ninayemuweka mbele kwa kila kitu naye ndie ni mlinzi wangu mkuu.
 
Back
Top Bottom