Hapatoshi.

Hapatoshi.

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,440
Reaction score
1,029
(JAMAA#1):Rafiki yangu,hivi kwanini unapenda kutembea na wanawake ambao sio wa hadhi yako?huoni kama unajidhalilisha? (JAMAA#2):Ina maana hata mkeo sio wa hadhi yangu?
 
(BABA):We mtoto mjinga sana,ole wako ukose na hili swali,haya>kama panya mkubwa anaitwa PANYA BUKU,panya mdogo ataitwaje? (MTOTO)😛ANYA JERO!
 
Hapo unamaanisha nini sasa. Upupu.
 
(JAMAA#1):Rafiki yangu,hivi kwanini unapenda kutembea na wanawake ambao sio wa hadhi yako?huoni kama unajidhalilisha? (JAMAA#2):Ina maana hata mkeo sio wa hadhi yangu?
sipati picha ya kilicho endelea.
 
Back
Top Bottom