Sisi tuko huku Shinyanga, hatuoni hata dalili kuwa reli hii inajengwa....
Hata kuwaona tu wale surveyors wa kuzuga kuzuga kisiasa, hatujawaona....!!
Nadhani kama na hii inayopita hapa Shinyanga itajengwa kwa kiwango cha SGR, labda miaka kumi au ishirini ijayo kwa sababu maandiko ya kutafuta mkopo kwenye mabenki bado yanaandaliwa, right?