Hapa Zitto ana maanisha nini?

Hilo swali majibu wanayo serikali kuu. Mimi ni site engineer tu.
 

Hii ndio approach inayoleta na kuchochea mis understanding. Kulikuwa na ugumu gani ku toa comprehensive response ya alichosema Zitto hoja kwa hoja?Hapo angemaliza mchezo wote kabisa halafu kipande alichoonyesha cha Moro Makutupora hakutaka kuonyesha uthibitisho at angehoji wanakijiji tuingekuwa poa. Sasa the whole thing in kuwa kama propaganda. Mnampa Rais wetu kazi ngumu sana.Mpaka kila kitu aseme mwenyewe sasamnalipwa kwa kazi gani?
 
Hata sikuelewi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…