Hapa Zitto ana maanisha nini?

Hapa Zitto ana maanisha nini?

Kwani imeambiwa ujenzi umekamilika!?
After all, yule Yuda kwenye ile clip alisema Reli mwisho MOROGORO, wakati sio kweli
Zitto alisema Reli haijafika Moro yaani haijakamilika
 
lakini mbna sijawahi ona Zito akifunguliwa mashtaka kwa kosa la kusambaza habari za uongo
na pia sijawahi sikia eneo/kitengo anachokiongelea eidha wizala au mkoa husika ama wasimamizi wa mladi husika kukanusha kwa hoja mbadala ili kithibitisha uwongo wake zaidi utasikia matamko ya wapambe tu mitandaoni ndo wanakuwa wakali
wakati Zito yeye huwa anaitisha hadi mkutano na waandishi na wakati mwingne anasema kabisa ni tamko la chama au anatumia account zake verified kabisa
ni kwanini
je anayosema huwa ni sahihi yenye ukweli ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kweli unaweza poteza muda kujibu uongo??
 
Mental case! Zitto is nut


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Reli tunayoonyeshwa hapa ni vipande vipande na mahandaki ambayo hayajakamilika ila tracks bado sana
Ndugu, kwenye ujenzi wa reli track works ni kazi ndogo sana. Kazi kubwa iko katika kusawazisha milima na mabonde (earthwork - fill and cut works) pamoja na ujenzi wa madaraja.
Fill work ni ujenzi wa tuta
Kwa mfano: kuna section panatakiwa lijengwe tuta la kimo (height) meta 20 au zaidi. Procedure ni kwamba tuta hilo linajengwa kwa tabaka (layer) lenye unene wa sentimeta 25 (selected material, well mixed with proper moisture, well compacted followed by inspection and testing). Meta 20 ni sawa na tabaka (layers 80). Kwa urefu wa kilometa 1 hii kazi ili ikamilike inaweza kuchukua atleast 35 days (kwa kufanya kazi usiku na mchana ukiwa na 3 sets of equipment, mvua isiponyesha hata siku moja, without equipment breakdown au tatizo lolote lile).
Kwenye mradi huu wa SGR-Tz, track works tabaka hazizidi 3 ambazo kila tabaka unene wake hauzidi sentimeta 30, kisha wanaweka ballast (kokoto nene), mataruma (sleepers) na hatimaye kuweka reli (vyuma). Track works kwenye urefu wa kilometa 1, kazi zote hizi zinaweza kukamilishwa ndani ya siku 5.
Progress report inayotolewa na TRC inaandaliwa na Msimamizi wa mradi ambaye ni KOREA RAIL ROAD (KORAIL JV) na ni taarifa sahihi. Kuamini au kutokuamini taarifa hizi ni uamuzi wako na haulazimishwi kuamua vyovyote vile.
Mimi niko site kila siku kwenye mradi huu tangu 2017, ninajua kinachoendelea na taarifa zinazotolewa kuhusu maendeleo ya mradi ni sahihi.
 
Ndugu, kwenye ujenzi wa reli track works ni kazi ndogo sana. Kazi kubwa iko katika kusawazisha milima na mabonde (earthwork - fill and cut works) pamoja na ujenzi wa madaraja.
Fill work ni ujenzi wa tuta
Kwa mfano: kuna section panatakiwa lijengwe tuta la kimo (height) meta 20 au zaidi. Procedure ni kwamba tuta hilo linajengwa kwa tabaka (layer) lenye unene wa sentimeta 25 (selected material, well mix with proper moisture, well compacted followed by inspection and testing). Meta 20 ni sawa na tabaka (layers 80). Kwa urefu wa kilometa 1 hii kazi ili ikamilike inaweza kuchukua atleast 35 days (kwa kufanya kazi usiku na mchana ukiwa na 3 sets of equipment, mvua isiponyesha hata siku moja, without equipment breakdown au tatizo lolote lile).
Kwenye mradi huu wa SGR-Tz, track works tabaka hazizidi 3 ambazo kila tabaka unene wake hauzidi sentimeta 30, kisha wanaweka ballast (kokoto nene), mataruma (sleepers) na hatimaye kuweka reli (vyuma). Track works kwenye urefu wa kilometa 1, kazi zote hizi zinaweza kukamilishwa ndani ya siku 5.
Progress report inayotolewa na TRC inaandaliwa na Msimamizi wa mradi ambaye ni KOREA RAIL ROAD (KORAIL JV) na ni taarifa sahihi. Kuamini au kutokuamini taarifa hizi ni uamuzi wako na haulazimishwi kuamua vyovyote vile.
Mimi niko site kila siku kwenye mradi huu tangu 2017, ninajua kinachoendelea na taarifa zinazotolewa kuhusu maendeleo ya mradi ni sahihi.

..afadhali umekuja mtaalamu wetu.

..kwanini reli hii inachukua muda mrefu kujenga kuliko Tazara?

..tazara ina urefu wa km 1860.

..sasa hivi teknolojia na vifaa ni bora kuliko wakati Tazara inajengwa 1970 to 1975.

..pia contractor wa Tazara hakuwa na uzoefu wa miradi mikubwa na ujenzi wa reli ukilinganisha na contractor wa sgr.

..mimi siyo mtaalamu wa ujenzi au wa reli, kwa hiyo naomba elimu toka kwako.
 
Progress report inayotolewa na TRC inaandaliwa na Msimamizi wa mradi ambaye ni KOREA RAIL ROAD (KORAIL JV) na ni taarifa sahihi. Kuamini au kutokuamini taarifa hizi ni uamuzi wako
"Reli" anayoongelea Mhe Zitto Kabwe ni Mataruma ila Acheni kudanganya wananchi huu mradi bado unasua sua na fedha za kuendeleza hadi Tabora hakuna.
 
..afadhali umekuja mtaalamu wetu.

..kwanini reli hii inachukua muda mrefu kujenga kuliko Tazara?

..tazara ina urefu wa km 1860.

..sasa hivi teknolojia na vifaa ni bora kuliko wakati Tazara inajengwa 1970 to 1975.

..pia contractor wa Tazara hakuwa na uzoefu wa miradi mikubwa na ujenzi wa reli ukilinganisha na contractor wa sgr.

..mimi siyo mtaalamu wa ujenzi au wa reli, kwa hiyo naomba elimu toka kwako.
Je, unaweza kutuwekea nakala ya BOQ ya mradi wa TAZARA ili tulinganishe na SGR ili tuone scope of works zinatofautina kwa kiasi gani. Kwa mtazamo wako scope of work unaitazama in terms of kilometres pekee yake. Earthwork quantities (fill and cut volumes) na quantities za concrete na nondo (reinforcements) kama ni kubwa (nyingi) zinaweza kuchangia sababu ya mradi kuchukua muda mrefu kukamilika.
Kwenye mradi wa sgr kuna work items tena kubwa ambazo nina uhakika haziko kwenye mradi wa TAZARA, mfano: madaraja ya juu kutoka Dsm station hadi Ilala, daraja kubwa la mto Ruvu, electrification and catenary works, nk. Yote hayo yanafanya design za miradi hii miwili itofautiane na pia scope ya kazi itofautiane!
Lakini pia ikumbukwe kwamba, huwa kuna changamoto nyingi sana wakati wa utekelezaji wa miradi mikubwa kama huu wa sgr.
 
Je, unaweza kutuwekea nakala ya BOQ ya mradi wa TAZARA ili tulinganishe na SGR ili tuone scope of works zinatofautina kwa kiasi gani. Kwa mtazamo wako scope of work unaitazama in terms of kilometres pekee yake. Earthwork quantities (fill and cut volumes) na quantities za concrete na nondo (reinforcements) kama ni kubwa (nyingi) zinaweza kuchangia sababu ya mradi kuchukua muda mrefu kukamilika.
Kwenye mradi wa sgr kuna work items tena kubwa ambazo nina uhakika haziko kwenye mradi wa TAZARA, mfano: madaraja ya juu kutoka Dsm station hadi Ilala, daraja kubwa la mto Ruvu, electrification and catenary works, nk. Yote hayo yanafanya design za miradi hii miwili itofautiane na pia scope ya kazi itofautiane!
Lakini pia ikumbukwe kwamba, huwa kuna changamoto nyingi sana wakati wa utekelezaji wa miradi mikubwa kama huu wa sgr.

..mimi siyo mtaalamu wa ujenzi wa reli.

..sasa kwasababu wewe ni mtaalamu nilitegemea ungenielimisha / ungenisomesha kuwa Tazara walikuwa wakifanya "a" lakini sgr tunafanya "b".

..Nilitegemea uzifanyie mlinganisho reli hizo mbili na kutueleza kwanini moja ichukue muda mrefu zaidi kujenga kuliko nyingine ukizingatia kwamba teknolojia imekuwa bora zaidi miaka hii.

..Tazara pia inayo madaraja na mahandaki makubwa. Kwa hiyo jicho langu ambalo siyo la kitaalamu bado nina maswali mengi.

..I am just trying to get more clarification from you. Sina uhakika kama kuna mwanachama mwingine wa JF anayeweza kutupa maelezo ya uhakika kama yako.
 
Back
Top Bottom