Hapa Zitto ana maanisha nini?

Kwa kweli sina data zozote za mradi wa TAZARA ili niweze kulinganisha na mradi wa SGR. Kama kuna engineer wa TAZARA humu jf, atuwekee hapa.
 
Kwa kweli sina data zozote za mradi wa TAZARA ili niweze kulinganisha na mradi wa SGR. Kama kuna engineer wa TAZARA humu jf, atuwekee hapa.

..Asante kwa majibu yako.

..maswali haya nadhani unaweza kuyajibu.

1. Kipande cha Dar - Moro kitakwisha lini?

2.Kipande cha Moro - Makutopora kitakwisha lini?
 
..Asante kwa majibu yako.

..maswali haya nadhani unaweza kuyajibu.

1. Kipande cha Dar - Moro kitakwisha lini?

2.Kipande cha Moro - Makutopora kitakwisha lini?
Pamoja na changamoto za mvua zinazonyesha tangu mwezi Oktoba 2019 na kuathiri kwa kiwango kikubwa work progress, nina uhakika kipande cha Dar - Moro kitakwisha mwaka huu 2020.

Moro - Makutopora, sifanyi kazi kipande hiki hivyo sina uhakika ni lini kitakwisha.
 
Huyo jamaa keshajitoa ufahamu. Hata umwambieje yeye atapinga tu. Watu kama hawa ni wa kuwaacha kama walivyo.
 

..Asante.

..Unadhani kipande cha Dar-Moro kitajiendesha kibiashara, kwa faida, na kutoa uwezekano wa kurudisha fedha zilizowekezwa?
 
Huyo jamaa keshajitoa ufahamu. Hata umwambieje yeye atapinga tu. Watu kama hawa ni wa kuwaacha kama walivyo.

..sasa maswali niliyouliza yana ubaya gani?

..kutaka kujua reli ya Dar-Moro itakwisha lini ndiyo kupinga?

..Au kutaka kujua kama reli itaendeshwa kibiashara na kwa faida ni sawa na kupinga mradi wa reli?

..inawezekana uko ktk kundi la kusifia bila kujua faida za unachokisifia na kukiunga mkono.
 
Hiyo reli sio ya kukamilika Leo wala kesho nyie mapimbi,acheni kudanganya watu na video uchwara zenu.
 

Sisi tuko huku Shinyanga, hatuoni hata dalili kuwa reli hii inajengwa....

Hata kuwaona tu wale surveyors wa kuzuga kuzuga kisiasa, hatujawaona....!!

Nadhani kama na hii inayopita hapa Shinyanga itajengwa kwa kiwango cha SGR, labda miaka kumi au ishirini ijayo kwa sababu maandiko ya kutafuta mkopo kwenye mabenki bado yanaandaliwa, right?
 
Lini ukarabati wa makao makuu pale ufipa yataanza?
 
Shauri yako, siwezi kukusaidia.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…