Hapa vipi?

Hapa vipi?

Daah kweli mkuu....hyo picha umeitoa wp Kwan????
1471371462949.jpg
1471371467268.jpg
1471371473671.jpg
1471371478195.jpg
1471371482553.jpg
1471371487706.jpg

Bado huamini?
Zile fix tu za vibabu vyetu
 
Tatzo wale ndio benchi la ufundi wenyeweee
Mi kale kazee kwangu nakaona kachawi tu ningekuwa na uwezo ningekaburuta bararani na kukatupa mto Msimbazi
Nahisi kanatumwa
 
Mi kale kazee kwangu nakaona kachawi tu ningekuwa na uwezo ningekaburuta bararani na kukatupa mto Msimbazi
Nahisi kanatumwa
Ukikatupa mto msimbaz kataliwa na simbaaa
 
Back
Top Bottom