Hapa vipi?

Hapa vipi?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] Kweli utoto rahaa....yaan unadanganywa huku unaona
Ushahidi wa picha umedhihilisha tulilishwa matango pori utotoni
 
Daah kweli mkuu....hyo picha umeitoa wp Kwan????
1471371462949.jpg
1471371467268.jpg
1471371473671.jpg
1471371478195.jpg
1471371482553.jpg
1471371487706.jpg

Bado huamini?
Zile fix tu za vibabu vyetu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Tatzo wale ndio benchi la ufundi wenyeweee [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mi kale kazee kwangu nakaona kachawi tu ningekuwa na uwezo ningekaburuta bararani na kukatupa mto Msimbazi
Nahisi kanatumwa
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Mi kale kazee kwangu nakaona kachawi tu ningekuwa na uwezo ningekaburuta bararani na kukatupa mto Msimbazi
Nahisi kanatumwa
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ukikatupa mto msimbaz kataliwa na simbaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom