Hapa Sijamuelewa Lukuvi


vumbi la maboksi unayobeba huko limeingia hadi kwenye ubongo wako na kukufanya ushindwe kufikiri vizuri. thats why unaropoka tu.p
 
Wewe Chris Lukosi kwa ujinga huu unaofanya humu jf kukashifu viongozi wa upinzani hata pale panapokuwa hakuna umuhimu wa kufanya hivyo nakushauri utumie fake id kwani wengi huku iringa tuna hasira na wewe.
Utnanifanya nini?
chunguza vizuri kabla hujaandika
anyway Leo Ni siku kuu yenu
 

chris sidhani kama wewe ni mtu mzima uliyeelimika kisha unakuwa na maneno ya dharau sana kwa yule aliyekufanya leo ujulikane katika siasa za tz.Kwani ulipojiunga na Cdm ulikuwa hujui kama ni DJ??nakuomba angalau uuvae ukweli,uivae hekima na busara kisha ujifanyie self assesment...tafadhali sana
 

We unaona ujanja sana kujichora mbele za vyombo vya habari kwa aibu zinazoletwa nawatu mawazoyao wanafikiria kuunda tume kila kitu ili wakajilipe posho?.Bahatiyenu hata Baba ritz1 hakuwa na mwaliko wowote nje,vinginevyo lingeanguka hata yuko air port asingeahirisha angemtuma pinda akatoe machozi pale!
 
lukuvi Ni waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu acha kukurupuka lukosi afy wewe ni cdm umekuja lini kwetu.
 
Bwana Chris Lukosi, si kila kitu ukichukulie kisiasa. Sijaona kwenye post ya mleta hoja alipoonyesha upinzani wake.
Suala la kubomoa jengo hilo ni suala la kitaalamu. Si vema kwa kiongozi kutoa tu amri ya kubomoa jengo bila kuwa na sababu za kitaalamu. Kwa wale waliokuwepo na kumsikia Lukuvi alionekana kutoa amri bila ya kueleza basis ya kitalaamu ya maamuzi ya kubomoa jengo hilo.
Tupunguze siasa kwenye masuala ya kitalaamu jamani
 
Last edited by a moderator:

Hawa Wapinzania watakusababishia uugue lukwale (uchizi) kaka !!!
 

tumiaga akili yako we mbeba box,mtu akihoji kitu hata kama ni mtoto wa darasa la kwanza unamwita mpinzani?
 

Acha unafiki,umeambiwa hilo ni tamko la Chadema au atakayeenda tofauti na mawazo ya viongozi wako wamgamba basi ni Chadema?.Hayo ni mawazo yake sio ya chama.
 
Ila chriss umeiharibu hii thread na lengo lako la kuwahamisha watu kwenye ajenda ya msingi umefanikiwa kwani wamekuwa busy kujadili utumbafu wako.
 
Narudia tena kukuwekea nilichouliza kama utakuwa na aliki zenye ufahamu wa kutosha utanielewa''Lukuvi alimwagiza Kova kuwa watu waliokuwa karibu na jengo jingine la ghorofa 15 lililojengwa na mkandarasi huyo, kuhama mara moja na ubomoaji ufanyike bila kuleta madhara''Hoja yangu inasimama hapo kwenye agizo la Lukuvi kwa Kova hapo juu jengo hilo ameamua libomolewe ni kwa sababu limejengwa na huyo mkandarasi au kuna sababu zingine za kitaalamu zilizoainishwa? nina mashaka na tamko hili kama limezingatia utendaji unaofuata sheria na taratibu.
 

Tumia akili japo kidogo; Usifikiri kuwa waziri ina maana kila tamko analotoa lina tija ama faida kwa Taifa. Kama una kumbukumbu japo kidogo recall maagizo ya Lowasa kubomoa maghorofa mawili hapo Masaki na nini kinafanyika sasa ndani ya Serikali.
 

Nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri ndugu yangu bwana Chris Lukosi. Sikutarajia u urge kitoto. Ni hayo tu.
 
Mkuu pamoja na kuishi UK, bado unazungumza kama unaishi Muleba. Please be your age and act like an educate person
 

Tumia akili japo kidogo; Usifikiri kuwa waziri ina maana kila tamko analotoa lina tija ama faida kwa Taifa. Kama una kumbukumbu japo kidogo recall maagizo ya Lowasa kubomoa maghorofa mawili hapo Masaki na nini kinafanyika sasa ndani ya Serikali.

Kwa kukusaidia soma hii habari;

 

Huyu jamaa ni kati ya wale watu wanaolilia haki ya kuolewa!
 
wewe jamaa mbona wewe unaosha masufuria kwenye migahawa ya mc donald UK.acha ujinga wewe.MWAMBIE LUKUVI NA CHETI CHAKE CHA GRADE 'A' SHULE YA MSINGI AVUNJE HILO GOROFA AONE SERIKALI ITAPATA HASARA KIASI GANI.
 
Afterall itifaki haipo ivo huwezi kutoa maagizo mbele ya mkubwa wako hii ni insurbodination. Ajieleze kwanini atoe amri au yeye alikuwa anamuwekea pinda mdomo
 
Hata na wewe majibu yako ya kijinga. Kwani kuna dhambi gani mtu kuomba kuelewa misingi ya agizo la waziri? Au hasira zinatawala busara zako? Kuna tofauti gani kwa waliokwenda na ambao hawajaenda eneo la tukio ukizingatia umuhimu wao kuhusu suluhisho la tatizo nje ya kutimiza fahari ya macho ya kuona Live na kushughulika na matatizo badala ya kuyazuia yasitokee?
Ubarikiwe sana.
 
Huyu ana masifa sana na ni mfia JK kwa lolote maana amemlinda hadi sasa na atahakikisha wanampitisha chaguo la bwana mkubwa kuwa mgombea urais ajaye!amewekwa CC sababu yeye kwa JK ndio mkuu!habishi na hana la kubisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…