Hapa Obama alikuwa ashasoma cable za Purnell Delly?????

Jumboplate

Senior Member
Jul 29, 2008
133
10
Inaonekana kama Obama alikuwa anamshangaa mshkaji kwa uzushi kwani tayari alikuwa ameshazisoma habari toka kwa Hosea kuwa jamaa mwoga..............
president_kikwete_und_obama_01.jpg
 
Inaonekana kama Obama alikuwa anamshangaa mshkaji kwa uzushi kwani tayari alikuwa ameshazisoma habari toka kwa Hosea kuwa jamaa mwoga..............
president_kikwete_und_obama_01.jpg

Utajua tu hapo yupi omba omba na yupi mzushi kisha yupi mwenye hela.
 
Mpaka aibu, jamaa anajielezea kwa jitihada zote. Hapo alikua anaomba Obama aje kugawa Neti tena kama alivofanya Bush...!
 
"mwisho wa mazungumzo aliomba ma-aple kumi hapo pembeni akaweka kwenye mfuko wa koti kuwaletea watanzania msaada aliopata kwa hiyo trip". Mwisho wa nukuu.

Halafu ni noma sana unapomwambia kitu mtu kumbe tayari ana taarifa zako zinakuonyesha ulivyo uchi.
 
Inaonekana kama Obama alikuwa anamshangaa mshkaji kwa uzushi kwani tayari alikuwa ameshazisoma habari toka kwa Hosea kuwa jamaa mwoga..............
president_kikwete_und_obama_01.jpg

Obama alikuwa anajiuliza inakuwaje eti watanzania wamemchagua kilaza wa namna hii kwa 80% vote. Mazungumzo ya kawaida lazima awe na makaratasi. First and ugly of it's kind
 
Inaonekana kama Obama alikuwa anamshangaa mshkaji kwa uzushi kwani tayari alikuwa ameshazisoma habari toka kwa Hosea kuwa jamaa mwoga..............
president_kikwete_und_obama_01.jpg

Obama ana admire JK alishika nondo yake halafu anashuka kiuhakika kuomba misaada mbali mbali toka marekani
 
Hapo inaonesha uelewa mdogo wa mambo,kuna haja gani kwenda na makaratasi kama vile unaenda kujibu mtihani?Sikushangaa Rais wetu alipoulizwa swali kwnini Tanzania ni masikini?Naye akajibu HATA MIMI SIJUI!!
 
Akiulizwa swali lilo nje ya hilo desa nadhani hali yake itakuwa mbaya sana
Anweza sahau hata kilichompeleka.
 
Back
Top Bottom