Jumboplate
Senior Member
- Jul 29, 2008
- 133
- 10
Inaonekana kama Obama alikuwa anamshangaa mshkaji kwa uzushi kwani tayari alikuwa ameshazisoma habari toka kwa Hosea kuwa jamaa mwoga..............
Inaonekana kama Obama alikuwa anamshangaa mshkaji kwa uzushi kwani tayari alikuwa ameshazisoma habari toka kwa Hosea kuwa jamaa mwoga..............
Utajua tu hapo yupi omba omba na yupi mzushi kisha yupi mwenye hela.
Jamaa anaboreka anahamu mazungumzo yaishe akacheze kikapu.....
jamaa mpaka kwa karatasi
inaonekana kama obama alikuwa anamshangaa mshkaji kwa uzushi kwani tayari alikuwa ameshazisoma habari toka kwa hosea kuwa jamaa mwoga..............
Mbona picha ya kitambo sana kbala ya ata sakata la Hosea
Inaonekana kama Obama alikuwa anamshangaa mshkaji kwa uzushi kwani tayari alikuwa ameshazisoma habari toka kwa Hosea kuwa jamaa mwoga..............
Inaonekana kama Obama alikuwa anamshangaa mshkaji kwa uzushi kwani tayari alikuwa ameshazisoma habari toka kwa Hosea kuwa jamaa mwoga..............