Hapa ni kwa wanawake tu

Ndgu yangu acha jokes bhana huku kwetu shinyanga hakuna cha madazi katika familia za wafungaji.

nikusubiri ungali wa asubuhi wa mtu anayeenda kuchuga ng'ombe
kwa lugha ya kitalaam tunauita

"bungali wa ndimi'"

Samahani mkuu anasema ulikopa ughali "bungali wa ndimi"ila hadi sasa hujamlipa eti anasema unajidai we mjanja, mkuu we kamlipe tu hela yake.
 
Unajua nimekufananisha na Shy land labda umebadili jina ila mwananyamala hawajambo !

Shy land yamewezekana ni ndgu yangu mkuu,, subiri ni pm yawezekana tukajuana kwa namna moja au nyingine,,! mwananyamala mkuu nishahama long time sana!! kwa sasa niko hapa magomeni tunakula bata za dar karibu sana
 
Last edited by a moderator:
Shy land yamewezekana ni ndgu yangu mkuu,, subiri ni pm yawezekana tukajuana kwa namna moja au nyingine,,! mwananyamala mkuu nishahama long time sana!! kwa sasa niko hapa magomeni tunakula bata za dar karibu sana

magomeni ipi mimi mwenyewe nipo magomeni
 
Last edited by a moderator:
magomeni ipi mimi mwenyewe nipo magomeni

Haswa magomeni IPI, kwa maana Mimi nimetokea huko huko ndio wetu. Kuna mapipa,mikumi, Morocco hotel nakadhalika . Huwezu jua labda sisi ni ndugu Lol. Aaaaaaaahhhh Aaaaa.
 
magomeni ipi mimi mwenyewe nipo magomeni

Magomeni mapipa, kama unatoka kariakoo ni mkono wa kuume, kuna gorofa rangi ya kijani juu kuna minala, hapo ndiyo barabara kuu, yakwenda nyumbani.
 

Yaani,,,asante kwa kuniwakilisha mkuu, yaani ukiona mtu anapenda kutoa kasoro za watu wengine na kujinadi asset zake alizo nazo hata muda tu wa kumsikiliza sina.. na watu kama hawa siku zote huwa hawajiamiani. wanawake wengi hawapendi type hizi.
 
Magomeni mapipa, kama unatoka kariakoo ni mkono wa kuume, kuna gorofa rangi ya kijani juu kuna minala, hapo ndiyo barabara kuu, yakwenda nyumbani.

mtaa wa sunna au dosi ?
 
Ennie sina majifuno, kaasi cha kusema kwamba kwenye jamii nimekuwa kelo, lakn any away subiri nijichukuze kwanza labda yaweza kuwa kweli.

Alafu jamani mbona unakosea hivyo kuandika ??? au unafanya makusudi???
 
Last edited by a moderator:
Ennie sina majifuno, kaasi cha kusema kwamba kwenye jamii nimekuwa kelo, lakn any away subiri nijichukuze kwanza labda yaweza kuwa kweli.

majifuno= majivuno
kelo=kero
nijichukuze=nijichunguze
 
Last edited by a moderator:

ha ha ha ha......uwiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…