Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
Halafu ukifika mjini unaleta ubitozi na usista duu!!! Unajifanya huwezi kupanda basi lilojaa kwa maana hutaki kusimama kwenye basi. Lkn huko kijijini kwenu huchagui, utachagua vp wakati kipick up kama hicho kikipita leo saa 8 mpaka kesho saa 8. Tena kila kiumbe anayetaka kusafiri kwa wakati huo mnajichanganya. Ubitozi pembeni