Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,611
- 12,763
Inahitaji akili gani nyingi mbona huu Uzi unaeleweka?Mambo ya Gudume ni mengi kumuelewa inahitajika akili nyingi
Inahitaji akili gani nyingi mbona huu Uzi unaeleweka?Mambo ya Gudume ni mengi kumuelewa inahitajika akili nyingi
Eeeeh nawaacha wapambane wenyeweHa ha ha... So kesho yake una kamata mwizi kimya kimya..
Watanzania tunajadili sana vitu na watu, hatujadili issues(masuala ya tija). Mimi nikajua kuwa wanawake wamefanya mambo fulani ya uchumi wa viwanda kumbe upuuzi tu tunaletewa hapa. Aagh!
Vitu
Nimewaza km wewe atiCdhani kama wanawake tunauwezo mkubwa wa kukariri password ila mtu yeyeto kama anania yakutaka kujua kitu atafuatilia tu mpk afanikiwe ndo kilichokutokea..
hii ndo mbinu yangu aiseeMi siweki password wala nini ila hukuti unachokitafuta
mwanamke hawezi kuwa smart kunizidi mimi