.Kaka Huruma, aliyotamka Mbatia, yamekugusa wewe kama mwandishi na asssesor wa vitabu. mengi ya mambo aliyolalamikia mbatia ni kweli tupu. Hivi ni kweli wakazi wa mtaa wowote ule wameajiriwa na serikali?
viwe vimetajwa au havikutajwa..wewe ukiwa kama mwandishi na bado unang'ang'ania tafsiri ya wakazi wa mtaa wengi wameajiriwa,sasa nyie wote si walewale tu. huko vijijini hakuna mitaa na hao wameajiriwa au wamejiajiri.. kabla ya kuhukumu na kuandika tafiti kwanza vinginevyo unapotosha ikizingatiwa WEWE NI MWANDISHI MZOEFU. IWE ISIWE VITABU VINGI VINAPOTOSHA SASA NGOJA NKATAFUTE VITABU VYAKO NICHEKI PENGINE NAWE NI MMOJAWAO ILA HUKUTAJWA TU KUTOKANA NA VILE VILITUMIKA KAMA NI SAMPO TU.
Naomba kuuliza: je kosa dogo moja au mawili ya kiuandishi (typographic errors) yanaweza kui-discredit kazi nzima ya mwandishi? Hivi Mbatia ni technical editor au mhandisi?Mpo sawa, nilidhani ni mm tuu ndio niligunduwa udhaifu aliouonyesha mh mbatia kumbe tulikuwa wengi tuliloliona hilo. Nakubaliana na wewe kuwa kuna chuki binafsi zaidi ya uchungu Elimu yetu. Ila tufanyie kazi changamoto alizozianisha tusimbeze sana.
RED=hujakosea ila unaonyesha uvivu wa kufikiri halafu bado utuandikie vitabu!!?? GREEN=mnapotosha watoto wadogo BLUE=siwezi kupoteza pesa yangu kununua vitabu vya wapotoshaji..ntaenda kusoma maktabaaaa!!!! HEKO mbatiA KWA KUANIKA UMBULULA WA WAANDISHI NA EVIDENCE ZINAZIDI KUJITOKEZ HAPA.ufafanuzi.
soma mkala yangu kwa umakini. Nimesema wapo pia waliojiajiri (kama wewe hapo kariakoo). Vijijini kuna vitongoji hakuna mitaa na kwamba vijijini wanajishughulisha na shughuli gani haikuwa mada yangu. Nimeandika hivi:
Si makosa hata kitabu kusomeka kuwa wakazi wengi wa mtaa wameajiriwa na utumishi wa umma, viwanda na makampuni. Kwa mfano, wakazi wengi wa mtaa wa Unga limited (Arusha) wameajiriwa katika makampuni (ujenzi, maduka, hotel n.k), viwanda (bia, uchapaji, nguo nk), ofisi za umma na wengine wamejiajiri wenyewe. Msisitizo wa mwandishi wa kitabu ni kuonyesha kuwa katika maeneo ya mjini hakuna shughuli za kilimo
Tena naomba ukatafute vitabu vyangu haraka uvinunue ili upandishe mauzo. Asante.
ufafanuzi.
soma mkala yangu kwa umakini. Nimesema wapo pia waliojiajiri (kama wewe hapo kariakoo). Vijijini kuna vitongoji hakuna mitaa na kwamba vijijini wanajishughulisha na shughuli gani haikuwa mada yangu. Nimeandika hivi:
Si makosa hata kitabu kusomeka kuwa wakazi wengi wa mtaa wameajiriwa na utumishi wa umma, viwanda na makampuni. Kwa mfano, wakazi wengi wa mtaa wa Unga limited (Arusha) wameajiriwa katika makampuni (ujenzi, maduka, hotel n.k), viwanda (bia, uchapaji, nguo nk), ofisi za umma na wengine wamejiajiri wenyewe. Msisitizo wa mwandishi wa kitabu ni kuonyesha kuwa katika maeneo ya mjini hakuna shughuli za kilimo
Tena naomba ukatafute vitabu vyangu haraka uvinunue ili upandishe mauzo. Asante.
Atleast ukweli umejulikana kuliko mngekaa kimya,lakini bado kuna vitabu kadhaa vinapotosha.
Ukisema maeneo ya mjini hakuna kilimo si sahihi sana. Hii ni generalization ambayo siyo applicable kwa miji mingi ya Tanzania. Kwenye mitaa na miji yetu mingi tuna watu wanapata kipato chao kwa kufuga kuku, ngombe, bata, nguruwe, kwa kulima mchicha,mahindi,ndizi, mikunde etc .........Wataalamu wa kilimo wanaiita hii kitu: urban agriculture!
kwa taarifa yako hivyo vitabu vimelenga kusomwa na wanafunzi wa shule zote na sio wa mijini peke yao,,sawa MWANDISHI MWANDAMIZI!!??
Vitabu vingi vina madudu mfano URAIA drs la iii na iv swali moja majibu tofauti wakati mwandishi ni yuleyule.
RED=hujakosea ila unaonyesha uvivu wa kufikiri halafu bado utuandikie vitabu!!?? GREEN=mnapotosha watoto wadogo BLUE=siwezi kupoteza pesa yangu kununua vitabu vya wapotoshaji..ntaenda kusoma maktabaaaa!!!! HEKO mbatiA KWA KUANIKA UMBULULA WA WAANDISHI NA EVIDENCE ZINAZIDI KUJITOKEZ HAPA.
Vitabu vingi vina madudu mfano URAIA drs la iii na iv swali moja majibu tofauti wakati mwandishi ni yuleyule.
Hujanishawish ki2 hapo ndugu zaid ya blaa blaa 2!