Hapa ndipo alipojikwaa Mheshimiwa James Francis Mbatia (Mb)

Ufafanuzi.

1. Kuulizana majina ya viongozi ilikuwa enzi za zidumu (wakati wa siasa za kutukuzana) siku hizi kaka kinacho matter ni duties and responsibilities za portifolio na sio jina la mtu, kwanza hao hubadilika kila wakati. Inaelekea bado una athari ya kutu ya kale. badilika.

2. Aina za uraia ni nne ambazo zinawekwa katika mafungu makubwa mawili (fanya utafiti) kumwambia mtoto kuna aina mbili ni sawa kufuatana na ngazi ya elimu aliyopo. (waandishi wengine husema tatu)

3. Kijani haijawekwa hadi Zanzibar angalia- wewe una makengeza.

4. Kitabu ulichonacho kiliandkwa mwaka 2010 wakati serikali haijatoa ramani mpya, baada ya serikali kutoa ramani mpya hatuwezi (na haiwezekani) kuja kuvikusanya vitabu vyote huko mashuleni ili tuweke ramani mpya. hebu tafuta kitabu hicho hicho toleo la 2013.

5. Chaper 2 inayohusu katiba imekidhi objectives za syllabus. Tatizo lako ulitaka nii-copy na ku-paste katiba nzima kama ulivyofanya wewe katika kile kitabu chako ambacho ni black and white. Syllabus inaelekeza kueleza muundo wa katiba ya JMT hicho ndicho nilichofanya. hao waandishi wenzako na wewe mmeelezea muundo au mmekopi katiba na kuiweka kitabuni?

6. Katika structure ya utawala wa jamhuri ya muungano iliyopo uk wa 14 ulitakaa nimweke makamu wa rais chini ya Waziri Mkuu, unahitaji msaada.

7. Katika mfumo wa uandishi kuna kitu kinaitwa "errata". hiyo ni taarifa ya mwandishi kumjulisha msomaji marekebisho ya uchaapaji yaliyofanya ndani ya kitabu. Hii ndiyo best practice inayoonyesha perfection na inakubalika duniani pote. kuliko kumwachia msomaji agundue.

8.Katika mfumo wa uandishi wa vitabu duniani hakuna utaratibu unaomlazimisha mwandishi aonyeshe roman number. Hivi umeshindwa kuona kuwa ukurasa wa kwanza ni YALIYOMO.

9. chapter za kitabu kukaa kushoto au kullia hapo hujaeleweka . Lakini inatosha kukuambia kuwa kuna vitabu vya india ambavyo chapter imewekwa chini ya kitabu.

Kwa taarifa yako kwa mujibu wa walimu wenzako hicho kitabu hakiwezi kushindana na chochote cha uraia drs la saba maana kimesheheni utafiti katika mambo ambayo nyie mmepotosha mf. mambo ya bunge hususani uchaguzi wa spika na muundo wa sekretarieti ya mkoa.

Nafikiri wewe ndo unamakengeza ambayo yamekufanya uwe kipofu wa mawazo. Hivi huwezi tumia lugha nyingine mpaka unatumia lugha utafikiri mvuta bangi? Kwa mawazo uliyonayo nina wasiwasi na kitabu chako, maana maneno , matendo na mawzo ya mwandishi huakisiwa na anachokiandika lakini nifikiri kwamba ni mtu mwema kumbe mtu hovyo kabisa.
 
Nafikiri wewe ndo unamakengeza ambayo yamekufanya uwe kipofu wa mawazo. Hivi huwezi tumia lugha nyingine mpaka unatumia lugha utafikiri mvuta bangi? Kwa mawazo uliyonayo nina wasiwasi na kitabu chako, maana maneno , matendo na mawzo ya mwandishi huakisiwa na anachokiandika lakini nifikiri kwamba ni mtu mwema kumbe mtu hovyo kabisa.

ndugu yangu nimeandika kwa ufasaha nikionesha maeneo ambayo vitabu vyake vina kasoro yeye ananijibu kwa kunitukana. mimi ni mwalimu nafundisha hayo masomo Nampa ushauri wa bure ananishambulia. nakuomba upate geography na civics za darasa la 7 zilizo andikwa na joseph huruma kasha fuatilia makosa niliyoyaandika utayaouna. sikua mchoyo nimeweka hadi namba za kurasa
 
Ukweli ni kwamba Mbatia anapaswa kupongezwa kwa kuweza kubainisha udhaifua ambao unaidhalilisha kwa kiwango kikubwa sekta ya elimu. Nashangaa watu wanamlaumu hivi kuna fahari gani kwa nchi yetu iliyojaza wasomi wa nyanja mbalimbali za elimu kushindwa kubaini makosa ya kijinga namna hiyo. Halafu tunatumia muda na nguvu nyingi kumshambulia aliyetuonesha udhaifu.

Tafakari Chukua Hatua
 
Acha jazba. Ninakubaliana na hoja ya Mbatia ndiyo maana nimewahi kuandika kitabu kinachoelezea makosa mbalimbali katika somo la uraia ambacho hata msemaji w aupinzani alikinukuu. (Waziri na Naibu wake wanacho hicho kitabu) Tatizo ni kwamba hujasoma makala yangu yote kwa sababu ya uvivu wako wa kusoma. Huko maktaba utakutana na vitabu vyangu hata uende uingereza (longman) utanikuta. Futa hilo povu kaka.

hahahaaaa hahaaaa kaka ebu cheki post yako na comments zako halafu niambie nani anatoka povu..daaah kweli Mbatia amewashika pabaya!! kaa chini mjitathmini hapa utazidi kujichafua tu,acha kujifariji mshachafukaa...anyway ngoja niendelee kupanga fungu za nyanya hapa Kariakoo as you have said AFISA MWANDISHI MWANDAMIZI!!!!
 
Ufafanuzi.

1. Kuulizana majina ya viongozi ilikuwa enzi za zidumu (wakati wa siasa za kutukuzana) siku hizi kaka kinacho matter ni duties and responsibilities za portifolio na sio jina la mtu, kwanza hao hubadilika kila wakati. Inaelekea bado una athari ya kutu ya kale. badilika.

2. Aina za uraia ni nne ambazo zinawekwa katika mafungu makubwa mawili (fanya utafiti) kumwambia mtoto kuna aina mbili ni sawa kufuatana na ngazi ya elimu aliyopo. (waandishi wengine husema tatu)

3. Kijani haijawekwa hadi Zanzibar angalia- wewe una makengeza.

4. Kitabu ulichonacho kiliandkwa mwaka 2010 wakati serikali haijatoa ramani mpya, baada ya serikali kutoa ramani mpya hatuwezi (na haiwezekani) kuja kuvikusanya vitabu vyote huko mashuleni ili tuweke ramani mpya. hebu tafuta kitabu hicho hicho toleo la 2013.

5. Chaper 2 inayohusu katiba imekidhi objectives za syllabus. Tatizo lako ulitaka nii-copy na ku-paste katiba nzima kama ulivyofanya wewe katika kile kitabu chako ambacho ni black and white. Syllabus inaelekeza kueleza muundo wa katiba ya JMT hicho ndicho nilichofanya. hao waandishi wenzako na wewe mmeelezea muundo au mmekopi katiba na kuiweka kitabuni?

6. Katika structure ya utawala wa jamhuri ya muungano iliyopo uk wa 14 ulitakaa nimweke makamu wa rais chini ya Waziri Mkuu, unahitaji msaada.

7. Katika mfumo wa uandishi kuna kitu kinaitwa "errata". hiyo ni taarifa ya mwandishi kumjulisha msomaji marekebisho ya uchaapaji yaliyofanya ndani ya kitabu. Hii ndiyo best practice inayoonyesha perfection na inakubalika duniani pote. kuliko kumwachia msomaji agundue.

8.Katika mfumo wa uandishi wa vitabu duniani hakuna utaratibu unaomlazimisha mwandishi aonyeshe roman number. Hivi umeshindwa kuona kuwa ukurasa wa kwanza ni YALIYOMO.

9. chapter za kitabu kukaa kushoto au kullia hapo hujaeleweka . Lakini inatosha kukuambia kuwa kuna vitabu vya india ambavyo chapter imewekwa chini ya kitabu.

Kwa taarifa yako kwa mujibu wa walimu wenzako hicho kitabu hakiwezi kushindana na chochote cha uraia drs la saba maana kimesheheni utafiti katika mambo ambayo nyie mmepotosha mf. mambo ya bunge hususani uchaguzi wa spika na muundo wa sekretarieti ya mkoa.
Mimi siyo mwandishi wa vitabu bali ni mwalimu. Kama una mgogoro na wandishi wenzako naomba usiniingize ktk mgogoro wenu. Mama mwandishi jitahidi kutumia lugha ya staha. Matusi na ugomvi siyo tija.

Nianze na namba moja.

1- umesema kuulizana majina ya viongozi kumepitwa na wakati. mmmhhhh! kweli!!!! inaelekea wewe ni mwanaharakati au mwanasiasa. au una chuki na viongozi waliopo madarakani. motto anafundishwa kuhusu executive, judiciary an legislature asimjue rais, makamu au waziri mkuu!? asjue jina la mkuu wake wa mkoa!? anapofundishwa kuhusu uongozi wa kata asijue jina la diwani au mbunge wa eneo lake!? unahitaji kuombewa. huna uzalendo na huelewi somo la uraia maana yake nini.

2- sikubaliani na ww kuwa mtoto wa drs la 7 anafaa kufundishwa kuwa aina za uraia ni 2. Mungu wangu! wewe ni mwalimu kweli kitaaluma!?

3- nina kitabu kilicho kuwa published 2010. kinaonesha maeneo ya abushiri yako ndani ya bahari. kama kuna toleo jipya ulo rekebisha nifahamishe kuliko kunitukana! abushiri alikua maeneo ya pangani, tanga. ni pwani siyo kisiwa.

4- nimependa masahihisho yako kwenye namba 4. hiyo ndiyo lugha ya kisomi. nitakitafuta mkuu.

5- kuhusu kitabu changu hapo sikuelewi. sina kitabu mimi. muogope Mungu unapoandika. kama utaendelea na lugha za kihuni haya yatakua mawasiliano yangu ya mwisho na wewe! hatuzungumzii nyumba ya mtu au shati lake. tunazungumzia elimu ya hapa nchini kwetu. sikubaliani na wewe kuhusu somo la katiba. kwenye syllabus uliyoitumia kuandika katiba pameandikwa hivi; "the tr to guide pupils to brain storm and identify the main sections of the constttn of the untd rep of TZ. using the constitution of the united rep, the tr to guide pupils in groups to go through the constitution, LIST AND MAKE PRESENTATIONS ON THE MAIN SECTORS OF THE CONSTITUTION. upande wa assessment syllabus inasema; IS THE PUPIL ABLE TO EXPLAIN THE MEANING AND IMPORTANCE OF EACH SECTION OF THE CONSTITUTION OF TZ? wewe kama mwandishi elewa kwamba ni mwalimu. sitaki kubishana na wewe. lkn naamini kwamba uligusa kidogo upande wa katiba. hujamuelimisha mtoto angalau mwalimu akimpa kitabu ajisomee na kuelewa katiba.

6. kuhusu muundo wa uongozi wa muungano kwanza umemuweka makamu usawa mmoja na waziri mkuu. japo muundo wa muungano una utata lkn angalau usingewaweka usawa mmoja. pili ukimuweka makamu upande wake peke yake unafanya kama vile ndiyo anaiwakilisha znz. unatupotosha walimu. tafiti vizuri kuhusu muundo. mimi kama mwalimu nimesoma vitabu vyote vya darasa la 7 lkn wote mnatuchanganya kuhusu muundo wa muungano.

7. kama unaelewa fasihi, nilikushukuru kwa kuweka errata! kilichonishangaza ni kwamba KUMBE NA WW HUWA UNAKOSEA!!!!!!!? unapo washambulia waandishi wenzako mitandaoni, bungeni na arusha times nilidhani ww huwa hukosei. ni vijimambo tu.

8. huelewi unacho kisema. ktk vitabu vyako ukurasa wa kwanza siyo yaliyomo. ni maneno ya cover ya juu umeyarudia. kama unakataa mi sina la kuongeza. najua naongea na msomi siyo wavuta bangi vijiweni. nakuheshimu braza!

9- labda sikuweka sawa! namaanisha kuwa chapter ya kitabu lazima ikae kulia. ukifungua kitabu kwa mikono yko miwili chapter iwe upande wa mkono wako wa kulia. kama umeamua kuwafuata wahindi na kuacha professionalism, ruksa. its funny! kweli mwandishi unajidhalilisha.

HITIMISHO:
Kama una uathirika wa ugomvi na waandishi wenzako, naomba usiniingize ktk ugomvi huo. mimi ni mwalimu na ni msaidizi wa mwalimu mkuu hapa dar. tatizo ni kwamba waandishi mnatufanya walimu kama wajinga sana na hatuelewi chchote. ndugu huruma, vitabu vyako ni vizuri! nakupongeza. sigombani na wewe.

Nia yangu ni safi kabisa! Nafundisha kwa kutumia vitabu vyako ndugu yangu. umefanya kazi nzuri lkn ukishauriwa pka ushauri. sasa hivi nipo likizo Dodoma na notebook yangu nilimoandika makosa ya baadhi ya vitabu ipo dar. in 2 weeks nikirudi dar nitakupa dtails za makosa niliyoyaona ktk vitabu vyako. nashukuru mkuu!
 
Ufafanuzi.

1. Kuulizana majina ya viongozi ilikuwa enzi za zidumu (wakati wa siasa
za kutukuzana) siku hizi kaka kinacho matter ni duties and
responsibilities za portifolio na sio jina la mtu, kwanza hao hubadilika
kila wakati. Inaelekea bado una athari ya kutu ya kale. badilika.

2. Aina za uraia ni nne ambazo zinawekwa katika mafungu makubwa mawili
(fanya utafiti) kumwambia mtoto kuna aina mbili ni sawa kufuatana na
ngazi ya elimu aliyopo. (waandishi wengine husema tatu)

3. Kijani haijawekwa hadi Zanzibar angalia- wewe una makengeza.

4. Kitabu ulichonacho kiliandkwa mwaka 2010 wakati serikali haijatoa
ramani mpya, baada ya serikali kutoa ramani mpya hatuwezi (na
haiwezekani) kuja kuvikusanya vitabu vyote huko mashuleni ili tuweke
ramani mpya. hebu tafuta kitabu hicho hicho toleo la 2013.

5. Chaper 2 inayohusu katiba imekidhi objectives za syllabus. Tatizo
lako ulitaka nii-copy na ku-paste katiba nzima kama ulivyofanya wewe
katika kile kitabu chako ambacho ni black and white. Syllabus inaelekeza
kueleza muundo wa katiba ya JMT hicho ndicho nilichofanya. hao
waandishi wenzako na wewe mmeelezea muundo au mmekopi katiba na kuiweka
kitabuni?

6. Katika structure ya utawala wa jamhuri ya muungano iliyopo uk wa 14
ulitakaa nimweke makamu wa rais chini ya Waziri Mkuu, unahitaji msaada.

7. Katika mfumo wa uandishi kuna kitu kinaitwa "errata". hiyo ni taarifa
ya mwandishi kumjulisha msomaji marekebisho ya uchaapaji yaliyofanya
ndani ya kitabu. Hii ndiyo best practice inayoonyesha perfection na
inakubalika duniani pote. kuliko kumwachia msomaji agundue.

8.Katika mfumo wa uandishi wa vitabu duniani hakuna utaratibu
unaomlazimisha mwandishi aonyeshe roman number. Hivi umeshindwa kuona
kuwa ukurasa wa kwanza ni YALIYOMO.

9. chapter za kitabu kukaa kushoto au kullia hapo hujaeleweka . Lakini
inatosha kukuambia kuwa kuna vitabu vya india ambavyo chapter imewekwa
chini ya kitabu.

Kwa taarifa yako kwa mujibu wa walimu wenzako hicho kitabu hakiwezi
kushindana na chochote cha uraia drs la saba maana kimesheheni utafiti
katika mambo ambayo nyie mmepotosha mf. mambo ya bunge hususani uchaguzi
wa spika na muundo wa sekretarieti ya mkoa.

siku hizi bwana hata wavuta bhange ni waandishi wa vitabu.
eti sio lazima kwa mtoto kufahamu majina ya viongozi.!upuuzi huu kamfundishe mkeo nyumbani.
Halafu eti unasema kulingana na kiwango cha uelewa wa mtoto unatakiwa umfundishe eti kuna aina mbili za uraia,wewe utakuwa ulitoroka milembe.!
Inamaana kwa kuwa anasoma darasa la kwanza ndio anapaswa afundishwe kuwa tanzania imetokana na muungano wa tanganyka na zimbabwe halafu akiwa mkubwa ndo umwambie ukweli?
Acha kupotosha watu kwa misingi yako ya kibiashara
 
Ukisoma kitabu changu cha 40 BIG LIES IN CIVICS FOR TANZANIA SCHOOLS utaviona hiyo vitabu vinavyo potosha. Usimlaumu mtu yeyote bali wewe mwenyewe uliyemnunulia mwanao wakati vipo visivyopotosha.

Maelezo yako ni mazuri na yanaeleweka. Ila usilaumu wazazi kwa kununua vitabu vinavyopotosha, si wote wanaelewa na wamesoma kitabu chako unacho refer hapa. Nafikiri kunatakiwa kuwe na mikakati mahsusi ya kuwaongoza na kuwapa taarifa wazazi juu ya vitabu bora.
 
siku hizi bwana hata wavuta bhange ni waandishi wa vitabu.
eti sio lazima kwa mtoto kufahamu majina ya viongozi.!upuuzi huu kamfundishe mkeo nyumbani.
Halafu eti unasema kulingana na kiwango cha uelewa wa mtoto unatakiwa umfundishe eti kuna aina mbili za uraia,wewe utakuwa ulitoroka milembe.!
Inamaana kwa kuwa anasoma darasa la kwanza ndio anapaswa afundishwe kuwa tanzania imetokana na muungano wa tanganyka na zimbabwe halafu akiwa mkubwa ndo umwambie ukweli?
Acha kupotosha watu kwa misingi yako ya kibiashara

huyu mwandishi nilikua namuheshimu lkn inaelekea kichwani hamna kitu. au anaandikiwa vitabu. ktk somo la uraia mtoto asijue viongozi wake? afundishwe kuhusu viongozi wa mkoa asijue jina la mkuu wa mkoa wake!? huyu mwandishi bomu kabisa
 
pamoja na uchambuzi mzuri ulioufanya niongezee tu, kwanini wabunge hawakuomba umuhimu wa vitabu vya zamani kama zawadi ya ushindi na mashairi kama diwani ya Mloka virudishwe? hivi vilivyopo havieleweki na havina mafundisho yeyote kwa taifa, vitabu vya zamani vinatunza historia, kwa mfano zawadi ya ushindi inazungumzia historia ya vita vya Tanzania na Uganda, sote tunawatambua washairi kama C. Mloka na Shabani Robert katika harakati zao za kukuza kiswahili, pia hii ingeondoa wimbi la vitabu visivyoeleweka. yangu ni hayo kama kuna amwingine aliyeguswa aongezee.
 
Mimi kitaaluma ni mwalimu kifupi mbatia yuko sahihi haya makorokocho ya Oxford na macmilan ambayo ndio vitabu vya kiada huku shuleni ni upuuzi mtupu.

Mimi hata sivitumii vinapotosha na havijitoshelezi kufundishia, kifupi aliyevipa idhibati naona hakua na akili vizuri au rushwa imempofua macho.
 
Kuna Makosa mengi katika uandishi wa vitabu,ni vema tukakubaliana katika hilo.
Naunga mkono EMAC kufutwa kwa kuwa kimeruhusu madudu mengi kuingia kwa watumiaji wa vitabu bila kubaini.
Chombo mbadala kiundwe mapema na watu wenye nia ya dhati na si watafuta posho ambao huishia kuidhinisha vitabu vilivyo na makosa mengi sielewi ni kwasababu ya rushwa au kupitiwa.
Mf.Syllabus ya Civics for secondary school cha 2005 na 2010 ni cut/copy na ku-pest.Ukiangalia kwa kidato cha kwanza,toleo la 2010 limekata topic kama mbili hivi na yet linatumika kama official document.Sina hakika kama ni kwa nakala nililonalo ama ni kwa vitabu vyote.Fanyeni utafiti mubaini makosa hayo kama yapo na yanapswa kurekebishwa
 
Ukisoma kitabu changu cha 40 BIG LIES IN CIVICS FOR TANZANIA SCHOOLS utaviona hiyo vitabu vinavyo potosha. Usimlaumu mtu yeyote bali wewe mwenyewe uliyemnunulia mwanao wakati vipo visivyopotosha.

sikubaliani na wewe kwenye tafsiri ya neno mtaa.kama nawewe uandishi wako ndio wa namna hiyo basi majanga matupu.

Hiyo sio tafsiri halisi ya neno mtaa , hapa waandishi mmekua wavivu kufikiria tafsiri sahihi ya neno mtaa.ni kweli hao watu wanaishi mitaani lakini sio hao tu hata wavuvi, madereva daladala na bodaboda,mafundi seremara na kada nyingine nyingi tu nao wanaishi mitaani.

Ni kweli kwamba baharini wanaishi papa,nyangumi , samaki ,pweza nk, lakini huwezi kusema "bahari ni sehemu ya maji inayokaliwa na papa, samaki, nyangumi nk" hapo utakua hujatoa tafsiri sahihi ya neno bahari.

Rai: wazazi muwe makini sana na vitabu wanavyofundishiwa watoto vinginevyo mtashangaa watoto wenu wanasema huu sio mtaa kwa sababu wakazi wa hapa wote ni wauza kahawa !!!
 
Ukisoma kitabu changu cha 40 BIG LIES IN CIVICS FOR TANZANIA SCHOOLS utaviona hiyo vitabu vinavyo potosha. Usimlaumu mtu yeyote bali wewe mwenyewe uliyemnunulia mwanao wakati vipo visivyopotosha.

sikubaliani na wewe kwenye tafsiri ya neno mtaa.kama nawewe uandishi wako ndio wa namna hiyo basi majanga matupu.

Hiyo sio tafsiri halisi ya neno mtaa , hapa waandishi mmekua wavivu kufikiria tafsiri sahihi ya neno mtaa.ni kweli hao watu wanaishi mitaani lakini sio hao tu hata wavuvi, madereva daladala na bodaboda,mafundi seremara na kada nyingine nyingi tu nao wanaishi mitaani.

Ni kweli kwamba baharini wanaishi papa,nyangumi , samaki ,pweza nk, lakini huwezi kusema "bahari ni sehemu ya maji inayokaliwa na papa, samaki, nyangumi nk" hapo utakua hujatoa tafsiri sahihi ya neno bahari.

Rai: wazazi muwe makini sana na vitabu wanavyofundishiwa watoto vinginevyo mtashangaa watoto wenu wanasema huu sio mtaa kwa sababu wakazi wa hapa wote ni wauza kahawa !!!
 
Ukisoma kitabu changu cha 40 BIG LIES IN CIVICS FOR TANZANIA SCHOOLS utaviona hiyo vitabu vinavyo potosha. Usimlaumu mtu yeyote bali wewe mwenyewe uliyemnunulia mwanao wakati vipo visivyopotosha.

sikubaliani na wewe kwenye tafsiri ya neno mtaa.kama nawewe uandishi wako ndio wa namna hiyo basi majanga matupu.

Hiyo sio tafsiri halisi ya neno mtaa , hapa waandishi mmekua wavivu kufikiria tafsiri sahihi ya neno mtaa.ni kweli hao watu wanaishi mitaani lakini sio hao tu hata wavuvi, madereva daladala na bodaboda,mafundi seremara na kada nyingine nyingi tu nao wanaishi mitaani.

Ni kweli kwamba baharini wanaishi papa,nyangumi , samaki ,pweza nk, lakini huwezi kusema "bahari ni sehemu ya maji inayokaliwa na papa, samaki, nyangumi nk" hapo utakua hujatoa tafsiri sahihi ya neno bahari.

Rai: wazazi muwe makini sana na vitabu wanavyofundishiwa watoto vinginevyo mtashangaa watoto wenu wanasema huu sio mtaa kwa sababu wakazi wa hapa wote ni wauza kahawa !!!
 
Ukisoma kitabu changu cha 40 BIG LIES IN CIVICS FOR TANZANIA SCHOOLS utaviona hiyo vitabu vinavyo potosha. Usimlaumu mtu yeyote bali wewe mwenyewe uliyemnunulia mwanao wakati vipo visivyopotosha.

sikubaliani na wewe kwenye tafsiri ya neno mtaa.kama nawewe uandishi wako ndio wa namna hiyo basi majanga matupu.

Hiyo sio tafsiri halisi ya neno mtaa , hapa waandishi mmekua wavivu kufikiria tafsiri sahihi ya neno mtaa.ni kweli hao watu wanaishi mitaani lakini sio hao tu hata wavuvi, madereva daladala na bodaboda,mafundi seremara na kada nyingine nyingi tu nao wanaishi mitaani.

Ni kweli kwamba baharini wanaishi papa,nyangumi , samaki ,pweza nk, lakini huwezi kusema "bahari ni sehemu ya maji inayokaliwa na papa, samaki, nyangumi nk" hapo utakua hujatoa tafsiri sahihi ya neno bahari.

Rai: wazazi muwe makini sana na vitabu wanavyofundishiwa watoto vinginevyo mtashangaa watoto wenu wanasema huu sio mtaa kwa sababu wakazi wa hapa wote ni wauza kahawa !!!
 
Ukisoma kitabu changu cha 40 BIG LIES IN CIVICS FOR TANZANIA SCHOOLS utaviona hiyo vitabu vinavyo potosha. Usimlaumu mtu yeyote bali wewe mwenyewe uliyemnunulia mwanao wakati vipo visivyopotosha.

sikubaliani na wewe kwenye tafsiri ya neno mtaa.kama nawewe uandishi wako ndio wa namna hiyo basi majanga matupu.

Hiyo sio tafsiri halisi ya neno mtaa , hapa waandishi mmekua wavivu kufikiria tafsiri sahihi ya neno mtaa.ni kweli hao watu wanaishi mitaani lakini sio hao tu hata wavuvi, madereva daladala na bodaboda,mafundi seremara na kada nyingine nyingi tu nao wanaishi mitaani.

Ni kweli kwamba baharini wanaishi papa,nyangumi , samaki ,pweza nk, lakini huwezi kusema "bahari ni sehemu ya maji inayokaliwa na papa, samaki, nyangumi nk" hapo utakua hujatoa tafsiri sahihi ya neno bahari.

Rai: wazazi muwe makini sana na vitabu wanavyofundishiwa watoto vinginevyo mtashangaa watoto wenu wanasema huu sio mtaa kwa sababu wakazi wa hapa wote ni wauza kahawa !!!
 
huyu mwandishi nilikua namuheshimu lkn inaelekea kichwani hamna kitu. au anaandikiwa vitabu. ktk somo la uraia mtoto asijue viongozi wake? afundishwe kuhusu viongozi wa mkoa asijue jina la mkuu wa mkoa wake!? huyu mwandishi bomu kabisa


Ufafanuzi
Kuhusu majina ya viongozi

Kuhusu majina ya viongozi niwewataja vya kutosha katika kitabu changu (ingawa kimsingi hiki si kipaumbele) na sehemu nyingine nimetoa kazi za vikundi ili wanafunzi wawatafute wenyewe (Ndiyo kitabu pekee chenye njia shirikishi)

Hebu sema ukweli mwanzoni mwa sura ya kwanza katika uk. 6 Task.2 hujaona hili swali: Find out the name of the following leaders in your regions a) Regional Commissioner b) Regional Administrative Secretary. Pia hebu angalia SELF-CHECK katika uk. wa 2. na Task 2.2 katika uk. 32 wa kitabu hicho.

Kuhusu viongozi wakuu wa PARLIAMENT, JUDICIARY AND EXECUTIVE unasema sijawataja? Hebu angalia uk, wa 32 Jinsi nilivyoonyesha Anne Makinda kama spika wa kwanza mwanamke na jinsi alivyomshinda Mabere Marando. Na kwa taarifa yako ni kuwa hiki ni kitabu pekee Tanzania (Msingi hadi high school) kinachoelezea kwa usahihi kuwa Spika si lazima atokane na wabunge na ndiyo maana Mabere Marando aligombea. Kafanye utafiti urudi jamvini kueleza utofauti ubora wa kitabu hiki.

Kuhusu kiongozi wa Judiary nimewashirikisha wanafunzi kutafiti (njia shirikishi) kupitia swali lillopo uk. 33 Task 2.3 Carry out research to establish the names of the people who hold the following portfolios
a) Chief Justice b) Principal Judge
Kuhusu viongozi wa Executive, ni kweli huoni hata picha ya Kikwete ipo nimeweka kitabuni (uk.) 86.

Kuhusu viongozi wa Mashirika ya kimataifa, kwa mara nyingine hunitendei haki ( na wala hulitendei haki jukwaa) maana ukurasa wa 112 (bk 6) . pamejaa majina luluki na baadhi ni kama ifuatavyo na kzi zao kimataifa:
Dr. Asha Rose Migiro –Firsts woman Deputy UN sc.
Getrude Mogela –First President of PAP
Amb. Liberata Mulamula- First Executive Secretary – ICGLR
Amina Saum Ally –AU representative in Washington
Dr. William Shija
Etc.

Kama ni muungwana omba radhi kwa kupika uongo kwamba eti sitaji majina ya viongozi. Vinginevyo utapuuzwa kaka.
 
Acha hizo brother hata ww hivyo vitabu vyako tutavifuatilia, inawezekana na ww ndio walewale

Ungeipitia hotuba ya kambi rasmi ya upinzani section ya 8 kuhusu vitabu ungejua hotuba hiyo imenisifia. Tatizo hupendi kusoma. Halafu Mleta mashtaka juu yangu anakiri na kusema nanukuu "ndugu huruma, vitabu vyako ni vizuri! nakupongeza"
 
sikubaliani na wewe kwenye tafsiri ya neno mtaa.kama nawewe uandishi wako ndio wa namna hiyo basi majanga matupu.

Hiyo sio tafsiri halisi ya neno mtaa , hapa waandishi mmekua wavivu kufikiria tafsiri sahihi ya neno mtaa.ni kweli hao watu wanaishi mitaani lakini sio hao tu hata wavuvi, madereva daladala na bodaboda,mafundi seremara na kada nyingine nyingi tu nao wanaishi mitaani.

Ni kweli kwamba baharini wanaishi papa,nyangumi , samaki ,pweza nk, lakini huwezi kusema "bahari ni sehemu ya maji inayokaliwa na papa, samaki, nyangumi nk" hapo utakua hujatoa tafsiri sahihi ya neno bahari.

Rai: wazazi muwe makini sana na vitabu wanavyofundishiwa watoto vinginevyo mtashangaa watoto wenu wanasema huu sio mtaa kwa sababu wakazi wa hapa wote ni wauza kahawa !!!

swala hapo haikuwa kueleza maana ya mtaa bali shughuli gani zinazofanyika katika mtaa. zimeanishwa zote za kuajiriwa na kujiajiri (kama vile kuuza kahawa)
 
Kaka Huruma, aliyotamka Mbatia, yamekugusa wewe kama mwandishi na asssesor wa vitabu. mengi ya mambo aliyolalamikia mbatia ni kweli tupu. Hivi ni kweli wakazi wa mtaa wowote ule wameajiriwa na serikali?

Utafiti hujibiwa kwa utafiti kwa hiyo na wewe unakubali kuwa senti hazitumiki au kwamba author haiwezi kuwa organization. Funguka kaka.
 
Back
Top Bottom