Hapa ndio wanaume tunafeli

Hapa ndio wanaume tunafeli

Ukiwa huna pesa na unamkaza kisawa sawa ataenda kwa mango si kwa upendo ataenda kukazwa kukidhi shida ya familia so mango atakuwa napigwa tu usombe mwanamke akazwe na sehemu ambayo anafurahi utajuta so ongeza SPIDI tafuta pesa mkaze ng



Boss hata saizi yako ukimpata ongeza SPIDI ya kumkaza, ongeza mapigi shekhe mwanamke ukimkaza anahisi yupo peponi bila kifo
Alieko peponi bila kifo ni zuma peke yake hawa wengine tafta pesa ndipo uwakune vyema mbali na hapo utagongewa kila siku
 
Boss kawaone wamasai wakusaidie tatizo lako, kitu kingine fanya mazoezi pata mda pumzika kula vizuri, pata mda watch porn video ujifunze jinsi wanavyopeleka Moto Anza kupratice
We endelea na hizo akili zako ushaambiwa hata kwenye biblia fedha ndio jawabu la mambo yote hao wamasai hawanisaidii natafuta pesa nimlishe na nile vyema ndipo mengine yaendelee ww angalia porn na njaa alafu upige nyeto ndio kazi iliobaki
 
Tafuta Pesa.

Kupigana mashine, hata wanyama wanakazana.
 
..mkeo ukitaka akae mle nyuma...daima asilani hakuachi...maana huwa wanafata kutiwa nyuma huko nje....
 
Ulivyoandika Kwa kujiamini utadhani wote mna nguvu za kiume.Jamani,maisha ya ndoa Kwa sasa ishini tu bila complications...No formula
Na girls hawapendi hiyo mikazo, ni wachovu kichizi.
Sema sasa dunia isivyo na huruma, mwenye hana mauwezo ndo anapewa mbunye kitenesi kila muda inataka, na yule mpenda chini anapewa mtawa, papuchi kavu na hapend mizagamuo.

Msome mpenzio, ukifata ushauri wa mleta uzi utaumia mpaka basi.
 
Wanaume wengi tunaamini pesa ndio kila kitu kwenye mahusiano, yaani ukiwa na mke na watoto unamini wakila vizuri, wakivaa vizuri, watoto wakienda shule nzuri Mama yao akipata mahitaji yote sijui salon, nguo nzuri nk basi upendo utadumu na familia itakuwa imara na bora

Aisee nikuambie kitu mwanamke anahitaji kukazwa yaani kukazwa kisawa sawa mpe kila kitu ila kama umkazi kisawa sawa mahitaji yote unayompa ataona sawa Ila ataanza kuwaza kukazwa, ndugu yangu mkaze mkeo

Mkaze huyo mchumba wako kaza kisawa sawa yaani kaza hata ukiwa unageuka kitandani astuke aseme nimechoka usione huruma piga mashine nasema piga mashine usimuonee huruma sijui baby yaani kimoja cha dakika tano ushatoka

Kama mkeo kaa kifuani isugue kisawa sawa hao watu maarufu wenye majina tunaona wanachapiwa sababu hawawakazi wake zao wanaleta umaarufu kwenye nyege matokeo yake wanaenda kazwa nje huko

Nasema hivi kwa sababu kama upo kwenye ndoa kumkaza mkeo unaona mateso na amelalamika sana mkeo unachukulia poa na kaacha kulalamika na ndoa unaona ina amani basi tambua mkeo kuna mtu anamkaza kisawa sawa kwahiyo katulia tu hataki jam na wewe kwa sababu unampa mahitaji ya muhimu na yupo anayemkaza kaona sawa ngoja akae

Kina mama, kina dada wanaopitia changamoto ya kutokazwa vizuri wapo humu nachokisema wanakijua na ambao hawakijui wapo katika kuitafuta solution so mzee baba mkaze mkeo mkaze piga mashine piga mashine

NASEMAJE MKAZE HUYO MKEO ONGEZA SPIDI PIGA MASHINE ACHA UYOYO KWENYE MAMBO YA KITANDANI
Naunga mkono hoja,na kupeleka moto mkali ndio uanaume wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom