mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 10,237
- 13,968
ndio mwishoni alianza kusema kuna box la hela kuna mtu alikufa akabaki nalo yeye.
Alipoanza hiyo stori nikamstopisha hapo hapo nikamwambia sizitaki hela zako kawape huko kwenu ulikotoka au majirani zako baada ya hapo hakusumbua tena
Alipoanza hiyo stori nikamstopisha hapo hapo nikamwambia sizitaki hela zako kawape huko kwenu ulikotoka au majirani zako baada ya hapo hakusumbua tena
Huyu hakuokota box la the waasi lenye dhahabu na hela huko baghdad?? Hakuanza mpango wa kukutumia wewe?