Yuko Miami nchini Nigeria
Omokama OgaUnaibiwa na kina obina
ChinekeeeeeeUnaibiwa na kina obina
Hao jamaa ni noma sana.Wakuu naona nikimbilie huku tusaidiane kabla sijapigwa hela.
Mwanamke nilikutana kwenye mtandao yuko Miami USA
Nimejaribu kumpima nimtumie hela anunue eti hataki hela Mimi nimnunulie through mtandao
View attachment 1571493
hahahahhahaHuwezi piga video call?
Hao jamaa ni noma sana.
Kuna siku na mimi nilimpataga kama huyo Insta akaniambia kwao USA ila ametumwa kwenda baghdad kulinda amani yeye ni askari na kila siku akawa ananitumia picha amevaa kombati.
Akanipa namba zake za whatsapp zina code number za USA.
Ila alinikuta mtu mwenyewe ni mjanja hakuambua kitu nikastukia mtego.
Na hizo picha zake ni bonge la toto ukiwa na wenge lazima upigwe.