Hapa nataka kupigwa au kuibiwa

Midazolam

JF-Expert Member
Aug 15, 2020
806
1,337
Wakuu naona nikimbilie huku tusaidiane kabla sijapigwa hela.

Mwanamke nilikutana kwenye mtandao yuko Miami USA

Nimejaribu kumpima nimtumie hela anunue eti hataki hela Mimi nimnunulie through mtandao

Screenshot_20200916-154644.jpg
 
Kipigo Cha Mbwa Ko Ko

Jiongezeni
Kaa Mbali Na Majambazi 😁😂🤣
 
nenda grabify, tengeneza link halafu intergrate na link ya moja ya products anazotaka then mtumie link, akiclick tuu utajua yupo wapi.
 
Wakuu naona nikimbilie huku tusaidiane kabla sijapigwa hela.

Mwanamke nilikutana kwenye mtandao yuko Miami USA

Nimejaribu kumpima nimtumie hela anunue eti hataki hela Mimi nimnunulie through mtandao

View attachment 1571493
Hao jamaa ni noma sana.
Kuna siku na mimi nilimpataga kama huyo Insta akaniambia kwao USA ila ametumwa kwenda baghdad kulinda amani yeye ni askari na kila siku akawa ananitumia picha amevaa kombati.
Akanipa namba zake za whatsapp zina code number za USA.
Ila alinikuta mtu mwenyewe ni mjanja hakuambua kitu nikastukia mtego.
Na hizo picha zake ni bonge la toto ukiwa na wenge lazima upigwe.
 
Hao jamaa ni noma sana.
Kuna siku na mimi nilimpataga kama huyo Insta akaniambia kwao USA ila ametumwa kwenda baghdad kulinda amani yeye ni askari na kila siku akawa ananitumia picha amevaa kombati.
Akanipa namba zake za whatsapp zina code number za USA.
Ila alinikuta mtu mwenyewe ni mjanja hakuambua kitu nikastukia mtego.
Na hizo picha zake ni bonge la toto ukiwa na wenge lazima upigwe.

Huyu hakuokota box la the waasi lenye dhahabu na hela huko baghdad?? Hakuanza mpango wa kukutumia wewe?
 
Back
Top Bottom