The Donchop
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 294
- 376
Ni msichana wa miaka 21 mwenye mpenzi wa kiume mwenye miaka 32. Wapo mikoa tofauti jambo ambalo kuonana kwao inaweza kuwa ni mara moja kwa mwaka.
Mara kadhaa msichana amegundua kuwa mwanaume si mwaminifu kutokana na mara kwa mara kutafutwa na wanawake wengine baada ya wanawake wa jamaa kufuma sms za huyu aliye mbali.
Kubwa zaidi msichana amegundua kuwa mwanaume huyu amekuwa na mahusiano na mwanamke ambaye wapo kwa muda mrefu sana tangu enzi za kusoma hadi leo.
Msichana wa 21 years alipogundua hilo, mwanaume akaomba msamaha kuwa amekosea lakini yeye anamchagua huyo binti wa 21 na hamtaki huyu waliyedate naye kwa muda mrefu.
Binti aliongea na mwanamke wa mkaka huyo na akamjulisha kuwa wanagombana sometimes lakini hawajawahi kuachana na hilo halipo. Pia ameenda mbali zaidi kwa kudai kuwa, ni kawaida ya mwanaume huyu kuwa na tamaa ila anapomaliza haja zake uwa anarudi kwa mwanamke wake ambaye wamevumiliana kwa shida na raha ingawa hawajaoana.
Binti wa 21 years yupo njia panda. Anadai yeye yuko mbali na haoni umuhimu wa kuwa huyu mwanaume ukizingatia kwa sasa anasoma mwaka wa mwisho.
Mwanaume amekazana kuomba msamaha sana kwa binti.
Ushauri wenu ndugu zangu.
Pia soma: Ukaribu unaua hisia (Mapenzi ya mbali yananoga)
Wanawake: Madhara ya Mapenzi ya Mbali, Kuweni Makini na Mapoozeo!
Mara kadhaa msichana amegundua kuwa mwanaume si mwaminifu kutokana na mara kwa mara kutafutwa na wanawake wengine baada ya wanawake wa jamaa kufuma sms za huyu aliye mbali.
Kubwa zaidi msichana amegundua kuwa mwanaume huyu amekuwa na mahusiano na mwanamke ambaye wapo kwa muda mrefu sana tangu enzi za kusoma hadi leo.
Msichana wa 21 years alipogundua hilo, mwanaume akaomba msamaha kuwa amekosea lakini yeye anamchagua huyo binti wa 21 na hamtaki huyu waliyedate naye kwa muda mrefu.
Binti aliongea na mwanamke wa mkaka huyo na akamjulisha kuwa wanagombana sometimes lakini hawajawahi kuachana na hilo halipo. Pia ameenda mbali zaidi kwa kudai kuwa, ni kawaida ya mwanaume huyu kuwa na tamaa ila anapomaliza haja zake uwa anarudi kwa mwanamke wake ambaye wamevumiliana kwa shida na raha ingawa hawajaoana.
Binti wa 21 years yupo njia panda. Anadai yeye yuko mbali na haoni umuhimu wa kuwa huyu mwanaume ukizingatia kwa sasa anasoma mwaka wa mwisho.
Mwanaume amekazana kuomba msamaha sana kwa binti.
Ushauri wenu ndugu zangu.
Pia soma: Ukaribu unaua hisia (Mapenzi ya mbali yananoga)
Wanawake: Madhara ya Mapenzi ya Mbali, Kuweni Makini na Mapoozeo!