Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 8,464
- 6,510
Mwambie aachane naye asonge mbele huyo Mwanaume siyo mwaminifu kabisa.
Binti aliongea na mwanamke wa mkaka huyo na akamjulisha kuwa wanagombana sometimes
Duuuh nimecheka sana ,hivi nao kumbe washaanza kuolewaMi naona ukisema msichana aliyezaliwa mwaka 2000 inapendeza zaidi..
Hapo kwenye wa mkakaHii statement inaonesha wewe ni binti...
Tunaomba kujua ulimshauri vipi rafiki yako ili tujue tunaendeleaje,,, huenda ulishamaliza kila kitu...
Please, Tunakusikiliza
Halafu tabia moja wanaume sisi huwa nayo inaita kuwa na makoloni(ex wa kila kona). Hapa naongelea upo dar unae ukienda Arusha koloni(kiporo kinapashwa) sijui Shinyanga koloni lipo tabia zetu tuachilie wenyewe tuMkuu naona hata mwanamke angenyamaza hizo tabia mbovu zinaonekana ziko wazi. Mfano kama nimeelewa vizuri binti analalamika kuwa ameshatafutwa sana na wanawake baada ya jamaa kukutwa na msg na wanawake zake.
Thats means hata huyo mwanamke ambaye yupo wote tangu... naye anadanganywa kama binti ama pengine hajamuacha huyo mwanamke kwa kuwa anaweza kumvumilia.
Hakuna malengo hapo. Mwanaume anaonekana bado ni mvulana na hajielewi.
Dada acha kuingilia mapenzi ya namna hii na hivi uko mbali utakuja kushangaa jamaa ameshaanzisha familia na huna la kumfanya.
Yani kuwa mwanaume raha sana.. yani nao washaanza kuolewa eti maisha yanaenda kasi sana.Duuuh nimecheka sana ,hivi nao kumbe washaanza kuolewa
Ndugu acha tu yaani mwanaume wa hivo ni mshenzi yaani unaeza kuta hapo kapanga hata watano afu wote anawahaidi ndoa wengine wakizingua anajitambulisha kabisa,shida iko kwa wadada wakisikia neno ndoa wanapagawa hivi mimi na akili zangu eti nigombanie mume kabisa!Mkuu naona hata mwanamke angenyamaza hizo tabia mbovu zinaonekana ziko wazi. Mfano kama nimeelewa vizuri binti analalamika kuwa ameshatafutwa sana na wanawake baada ya jamaa kukutwa na msg na wanawake zake.
Thats means hata huyo mwanamke ambaye yupo wote tangu... naye anadanganywa kama binti ama pengine hajamuacha huyo mwanamke kwa kuwa anaweza kumvumilia.
Hakuna malengo hapo. Mwanaume anaonekana bado ni mvulana na hajielewi.
Dada acha kuingilia mapenzi ya namna hii na hivi uko mbali utakuja kushangaa jamaa ameshaanzisha familia na huna la kumfanya.
Undergraduate bila shakaIam always yearning to see your comments mkuu. I feel that you are a very smart individual when I do read your intelligent comments. Salute kwako mkuu you have my respect
Af ukute mkaka mwenyewe mbahili 😆😆😆😆😆Ndugu acha tu yaani mwanaume wa hivo ni mshenzi yaani unaeza kuta hapo kapanga hata watano afu wote anawahaidi ndoa wengine wakizingua anajitambulisha kabisa,shida iko kwa wadada wakisikia neno ndoa wanapagawa hivi mimi na akili zangu eti nigombanie mume kabisa!
KabisaaBinti wa 21 akazane na masomo na sio kukazwa na mapenzi