Hapa kuna ndoa kweli?

Binti aliongea na mwanamke wa mkaka huyo na akamjulisha kuwa wanagombana sometimes

Hii statement inaonesha wewe ni binti...

Tunaomba kujua ulimshauri vipi rafiki yako ili tujue tunaendeleaje,,, huenda ulishamaliza kila kitu...

Please, Tunakusikiliza
 
Mkuu naona hata mwanamke angenyamaza hizo tabia mbovu zinaonekana ziko wazi. Mfano kama nimeelewa vizuri binti analalamika kuwa ameshatafutwa sana na wanawake baada ya jamaa kukutwa na msg na wanawake zake.
Thats means hata huyo mwanamke ambaye yupo wote tangu... naye anadanganywa kama binti ama pengine hajamuacha huyo mwanamke kwa kuwa anaweza kumvumilia.
Hakuna malengo hapo. Mwanaume anaonekana bado ni mvulana na hajielewi.
Dada acha kuingilia mapenzi ya namna hii na hivi uko mbali utakuja kushangaa jamaa ameshaanzisha familia na huna la kumfanya.
Halafu tabia moja wanaume sisi huwa nayo inaita kuwa na makoloni(ex wa kila kona). Hapa naongelea upo dar unae ukienda Arusha koloni(kiporo kinapashwa) sijui Shinyanga koloni lipo tabia zetu tuachilie wenyewe tu


Mbuzibee 🐐
 
Anachokutana nacho sasa ndicho atakachokutana nacho mara mbili yake kwenye ndoa.
Ashukuru Mungu kamfunulia mapema kabla anjajicommit kwenye ndoa

Sasa uwamuz ni wake kuchagua vilio ama kukaa kimya
 
Hakuna cha ndoa hapo labda awe mchepuko wa kudumu,ko dada msamaha bado unamchanganya?,
 
Mkuu naona hata mwanamke angenyamaza hizo tabia mbovu zinaonekana ziko wazi. Mfano kama nimeelewa vizuri binti analalamika kuwa ameshatafutwa sana na wanawake baada ya jamaa kukutwa na msg na wanawake zake.

Thats means hata huyo mwanamke ambaye yupo wote tangu... naye anadanganywa kama binti ama pengine hajamuacha huyo mwanamke kwa kuwa anaweza kumvumilia.

Hakuna malengo hapo. Mwanaume anaonekana bado ni mvulana na hajielewi.

Dada acha kuingilia mapenzi ya namna hii na hivi uko mbali utakuja kushangaa jamaa ameshaanzisha familia na huna la kumfanya.
Ndugu acha tu yaani mwanaume wa hivo ni mshenzi yaani unaeza kuta hapo kapanga hata watano afu wote anawahaidi ndoa wengine wakizingua anajitambulisha kabisa,shida iko kwa wadada wakisikia neno ndoa wanapagawa hivi mimi na akili zangu eti nigombanie mume kabisa!
 
Ndugu acha tu yaani mwanaume wa hivo ni mshenzi yaani unaeza kuta hapo kapanga hata watano afu wote anawahaidi ndoa wengine wakizingua anajitambulisha kabisa,shida iko kwa wadada wakisikia neno ndoa wanapagawa hivi mimi na akili zangu eti nigombanie mume kabisa!
Af ukute mkaka mwenyewe mbahili 😆😆😆😆😆
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom