Naungana na Mwana wa Mungu, kwa kuongezea, kwa mujibu wa Sheria ya Ardhi Namba 4 ya Mwaka 1999 na Sheria ya Ardhi ya Vijiji Namba 5 ya Mwaka 1999, mikataba mingine yoyote inaweza kuwa ya mdomo, lakini mauziano ya Ardhi, lazima yawe na maandishi, kama hakuna maandishi yoyote ya umiliki wa Mzee wako kwenye Ardhi tajwa, ni sawa na hakuna umiliki unless anaishi kwenye eneo husika kwa zaidi ya miaka 12, ama kuwe na uthibitisho wa makaburi/mahame kama viashiria vya milki ya ardhi ya kimila na kuthibitishwe na wazee walio hai.
Kinyume cha hapo, you have no any legal remwdies. Just consider the land lost.
However, kuna sheria ya asili ambayo haina maandishi, inaitwa 'Law of the Karma'. Kila anayefanya dhuluma hapa duniani, malipo ni hapa hapa duniani. Just sit and watch hao waliomdhulumu marehemu watakavyo 'perish one after the other on horrible deaths' ama maisha yao 'its a living hell'