Shemalembona huelewi bro..
achana na hao wanaoandika x badala ya s au k badala ya ok..
demu wako atakua kanyoa denge, kachora way kichwani, mvaa vibukta au pens
pole sana...
kama ndivyo unavyohisi Sawawapi mnaongea kufurahisha genge tu
kwa hio umeona pichaMkuu kuwa makini na kiwango chako cha privacy, kuna mambo simple tu unaweza yafanyia maamuzi si lazima uyaanzishie mada.
Hivi wanaume sikuhizi tumeshindwa kabisa kufanya maamuzi mpaka tuite mkutano kama huu? umeshindwa kuamua tu kuwa huyu mtu hanifai au ananifaa mpaka uscreen short sms zenu watu wajadili?
Kipindi hiki wanaume Tumeshindwa kabisa kuwa na maamuzi private.
Nina mshkaj mmoja aishare picha ya mtu wake akiwa mtupu ili tu washkaji watoe comment. Sijui ikawaje kawaje mda ukapita leo ni mzazi mwenzie na ni mchumba wake halali na Mahari imelipwa. Ss tatizo ni ukimwangalia shemeji unakumbuka Ile picha. Hii yote sababu ya ktokua na privacy.
Tuliakwa hio umeona picha
mbona huelewi bro..
achana na hao wanaoandika x badala ya s au k badala ya ok..
demu wako atakua kanyoa denge, kachora way kichwani, mvaa vibukta au pens
pole sana...
🤣🤣🤣🤣🤣 umenikumbusha kuna malaya anatabia ya kujisemesha hana njaa njaa ya pesa ila sasa deile ni mizinga tu.mbona huelewi bro..
achana na hao wanaoandika x badala ya s au k badala ya ok..
demu wako atakua kanyoa denge, kachora way kichwani, mvaa vibukta au pens
pole sana...
🤣🤣🤣🤣🤣 mwenzenu huyoAiseee chat zinachefua roho.
🤣🤣🤣🤣🤣 uandishi wa babu mperakwanza siku ya kwanza tu nikichat na wewe nikaona unaniandikia
mala badala ya Mara
nicje badala ya Nisije
Mxaada badala ya Msaada
Kabixa badala ya Kabisa
Nxhapata badaya ya Nimeshapata
Nikiona tu uandishi wa namna hiyo, Huwezi kuwa mpenzi wangu.
Huyo demu ananyota ya Jei-wii basi, ye deile mabomu tu 🤣🤣🤣 akikuona shida zinaanza. Mie pia napenda mwanamke nimpe hela mwenyewe tu.hahahahahahah hapana, nina salary slip ina mambo heavy, huyu binti nilkua nampa kabla sijaanza kutoka nae sa waga sipendi mtu aniombe bora nitake mwenyewe ila yeye ukimtext yaani hilo ni tatizo, ukituma message mda huo huo mara viatu, mara simu mara nini
🤣🤣🤣🤣🤣Sasa kama ulimtongoza na kumuonesha una hela hayo si ndo majanga yake???Endelea kumpa sasaa umemzoesha simba nyama unataka uanze kumpa majani leo
Ungescreenshot na majibu yako mkuu ili tupime kati ya "ntu na ntu"☺️Hela kiasi fulani tu aliniomba ila kumwambia wakati mwingine nakua sina. Imekuwa kero aisee.
View attachment 1248128
Kivipi sijakuelewa?🤣🤣🤣🤣🤣 mwenzenu huyo
Si anatumia nguvu kutaka apewe hela af uandishi mmbovuKivipi sijakuelewa?
Wote wamekutana pipa na mfuniko,Mpenzi kumuomba pesa kwenye simu ni kosa kubwa kwanza kunauwezekano mkubwa usipate kuna maeneo ukiomba pesa jamaa hawezi kukataa.Si anatumia nguvu kutaka apewe hela af uandishi mmbovu
We unajielewaga sana yani hadi raha, mtu anakurupuka tu kuomba hela...Kuna maeneo husika na mda maalumu.Wote wamekutana pipa na mfuniko,Mpenzi kumuomba pesa kwenye simu ni kosa kubwa kwanza kunauwezekano mkubwa usipate kuna maeneo ukiomba pesa jamaa hawezi kukataa.
Jamaa muanzisha uzi na mpenzi wake bado wanafunzi kwenye mahusiano.We unajielewaga sana yani hadi raha, mtu anakurupuka tu kuomba hela...Kuna maeneo husika na mda maalumu.