Hapa kuna mapenzi kweli

Hapa kuna mapenzi kweli

Mmmh!!
Sorry, Umri wako unachezea age ngap mkuu?
kwanza siku ya kwanza tu nikichat na wewe nikaona unaniandikia

mala badala ya Mara

nicje
badala ya Nisije

Mxaada
badala ya Msaada

Kabixa
badala ya Kabisa

Nxhapata
badaya ya Nimeshapata

Nikiona tu uandishi wa namna hiyo, Huwezi kuwa mpenzi wangu.
 
Hivi vizinga vidogo kama raba vitatue au kutengeneza simu mizinga isiyokuwa na maana ikizidi kupitiliza ni haki yako kukataa tofaut na hapo kama hayo machache yanakushinda unayumba
simu sio mbovu aliniblock whatsapp akidai simu imearibika ila nilvomtafta kwa no. nyngne nkamkuta online kama kawaida
 
Mm hapo natoa anachota lakini ndogo ni lazima, najipakulia kiasi cha kushiba.
 
bona unadate binti ambae bado ananyonya matiti ya mamake?????? binti ambae anaadika cjc, xn, cju, huyu ni mtoto ambae hata kusafisa chupi hajui kabisa, achana na watoto wachanga kwa akili, akili duni, tafuta binti ambae amekomaa ki akili na kimawazo na tabia pia
 
Sasa kama ulimtongoza na kumuonesha una hela hayo si ndo majanga yake??? Endelea kumpa sasaa umemzoesha simba nyama unataka uanze kumpa majani leo
hapana mkuu
 
mbona huelewi bro..
achana na hao wanaoandika x badala ya s au k badala ya ok..
demu wako atakua kanyoa denge, kachora way kichwani, mvaa vibukta au pens
pole sana...
akivaa hivyo kwani K inahama au?
 
kwanza siku ya kwanza tu nikichat na wewe nikaona unaniandikia

mala badala ya Mara

nicje
badala ya Nisije

Mxaada
badala ya Msaada

Kabixa
badala ya Kabisa

Nxhapata
badaya ya Nimeshapata

Nikiona tu uandishi wa namna hiyo, Huwezi kuwa mpenzi wangu.
wapi mnaongea kufurahisha genge tu
 
Kama ndo apo yuko ivyo akienda chuo sindo atakua zaidi ya apo..


Siku shauri uendelee nae..Tafta mwingine tu
anaenda certificate katoka 4m 4, mwaka jana, ila ana vizinga kila siku wala sio hata kwa wiki, ukimtext ni kosa, na bando mda huo waga linaisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom