Hapa kuna mapenzi kweli

Hapa kuna mapenzi kweli

Mkuu huyo mkeo sorry mpenzi wako, kwa huo uandishi tu ni empty set a.k.a Bogus kichwani.
Ushauri: Piga block delete na namba kabisa tafuta mwanamke anaejielewa.!
 
mbona huelewi bro..
achana na hao wanaoandika x badala ya s au k badala ya ok..
demu wako atakua kanyoa denge, kachora way kichwani, mvaa vibukta au pens
pole sana...
Hata mleta uzi bado ni mdogo sana bado anategemea apewe ten na broo naye akahonge kademu kake ka xaxa 🤣 🤣 🤣
 
Mkuu huyo mkeo sorry mpenzi wako, kwa huo uandishi tu ni empty set a.k.a Bogus kichwani.
Ushauri: Piga block delete na namba kabisa tafuta mwanamke anaejielewa.!
Wanaume wengi sku izi ndo empty bucket kabisa sa sjui atawezaje kuchagua anaejielewa wanaokomenti wengi na wenyewe awajielewi aaaghhhrrr
 
For sure nimesoma sijaelewa haya maneno, hv, mm, kbxa, nop, jns. Ningekuwa mimi ningeshafuta namba yake kitambo maana sipendagi huo uandishi.
Wanendana ndo maana wanaelewana mkuu hao watoto waache kama walivyo mwenzie anamuelewa ndo maana kaleta bandiko lake umu tujue naye keshaanza
 
kwanza siku ya kwanza tu nikichat na wewe nikaona unaniandikia

mala badala ya Mara

nicje
badala ya Nisije

Mxaada
badala ya Msaada

Kabixa
badala ya Kabisa

Nxhapata
badaya ya Nimeshapata

Nikiona tu uandishi wa namna hiyo, Huwezi kuwa mpenzi wangu.
 
hahahahahahah hapana, nina salary slip ina mambo heavy, huyu binti nilkua nampa kabla sijaanza kutoka nae sa waga sipendi mtu aniombe bora nitake mwenyewe ila yeye ukimtext yaani hilo ni tatizo, ukituma message mda huo huo mara viatu, mara simu mara nini
Hata mleta uzi bado ni mdogo sana bado anategemea apewe ten na broo naye akahonge kademu kake ka xaxa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom