Am a star
Senior Member
- Sep 22, 2015
- 167
- 158
Badala ya pole anaandika poye ogopa hao.. na sio kwamba hajui kuandika.🤣🤣🤣🤣🤣 umenikumbusha kuna malaya anatabia ya kujisemesha hana njaa njaa ya pesa ila sasa deile ni mizinga tu.
Huwa namcheki tu af nasema hiii...vibwagizo vyake ni wanaume wa mji huu bahilii! Hapo ushamkaza inabidi umtoe hela maana vitaanza vijembe vya yani nasaidiwa kukazwa tu sehemu za siri. Kimbembe siku ukiwa huna sasa, 🤣🤣🤣!
Kuna X wake waliachana kwa ajili ya njaa njaa, ananiambia jamaa alimuudhi sana kumuita ana njaa ndogo ndogo wakati yeye hana njaa hizo ila at the same time anapenda kweli kuomba hela.🤣🤣🤣

