Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,156
- 55,653
Unataka mke au unataka mpenzi?

KivipiAiseee chat zinachefua roho.
utakae muoa hutamuhudumia?Mi dem kama huyo siezi kumvumilia maana najua siezi kumuoa
Mkuu itakubidi ujifunze kuelewa tu hata Kama haupendi ipo siku unaweza tumiwa ujumbe wa siri na ikala kwako kwa kushindwa kuelewa.. itabidi uandike unavyotaka wewe na wao waache hivyohivyo Kama hawashauliki mpaka siku yampate ya kumpata atajua tu.For sure nimesoma sijaelewa haya maneno, hv, mm, kbxa, nop, jns. Ningekuwa mimi ningeshafuta namba yake kitambo maana sipendagi huo uandishi.
Ishu sio kumhudumia demu anaonekana ana gubuutakae muoa hutamuhudumia?

