Hapa kuna mapenz kweli?

Hapa kuna mapenz kweli?

mutahappy

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2012
Posts
529
Reaction score
188
Hili jambo linaniumiza kwel na nashindwa kupata muafaka na nifanye nn?

Yapata takriban mwaka mmoja ambapo kuna bint niliye mpenda kwel toka moyon na nilimfanyia uchunguz nikaridhika na mwenendo wake.
Niliamua kwenda kumueleza ukwel wangu kuwa nampenda. Bila kumungunya maneno bint alinitolea nje kabisa. Nilipiga magot na kulia mbele yake(ni kuonesha upendo na kufikisha hisia za moyo wangu) lakin bint alikataa kabisa.

Nilimnunulia maua na kad lakin aliishia kuvipokea na kutoa jibu lilelile.
Nilitumia hadi rafik zake lakin alikataa.
Baada ya muda niliamua kukubal matokeo na kukata mawasiliano nae kwel badae nilizoea maisha yakasonga mbele.

Hivi karibun bint karudisha mawasiliano na kaniambia amekubal kuwa mpnz wangu baada ya kutafakar kwa muda.
Kiukwel kwa sasa moyo unagoma kumpokea na hisia za mapenz kwake zilisha kufa.
Ndugu zangu nifanyeje?
 
Wewe hukupata mwingine......? Katendwa sasa anakurudia.......Stuka.......
 
Wewe hukupata mwingine......? Katendwa sasa anakurudia.......Stuka.......

Ni kweli ashituke huyo hapo hakuna mapenzi na hakuna maana yoyote ya kusema ale mzigo kisha asepe kwa maana haitamsaidia kitu chochote.
 
Kiukwel kwa sasa moyo unagoma kumpokea na hisia za mapenz kwake zilisha kufa.
Ndugu zangu nifanyeje?
Sa jawabu unalo afu unauliza tena, kweli umepiga ugali na msusa mpaa unaona giza giza:biggrin:
 
Kwani mbaya? Kiporo hakihitaji moto mwingi aisee

Ni kweli kiporo hakihitaji moto mwingi kuliwa lakini kwake hicho siyo kiporo, ili kiwe kiporo ni mpaka uwe ilishapiga dushilele kisha mkaachana.

Jamaa hana hisia nae huyo demu ni bora akakaa naye mbali sana maana inawezekana huko aliko katendwa na kwa sababu demu hakuwa na hisia nae siku jamaa akirudisha majeshi kiulaini anajilia kiporo chake halafu jamaa aaze kuumizwa bila sababu ya msingi.
 
Hahaha, kweli mjini shule. Kwa hiyo unaweza kudhani kuwa unakula kiporo kumbe wewe ndo umegeuzwa kiporo?:nono::nono:
Ni kweli kiporo hakihitaji moto mwingi kuliwa lakini kwake hicho siyo kiporo, ili kiwe kiporo ni mpaka uwe ilishapiga dushilele kisha mkaachana.

Jamaa hana hisia nae huyo demu ni bora akakaa naye mbali sana maana inawezekana huko aliko katendwa na kwa sababu demu hakuwa na hisia nae siku jamaa akirudisha majeshi kiulaini anajilia kiporo chake halafu jamaa aaze kuumizwa bila sababu ya msingi.
 
Kula mzigo ulipize machungu alafu sepa kwa speed ya fighterflight!!
Kwani analipiza nini? ilikuwa lazima makubali wakati ule? Binti alikuwa hajawa tayari sasa ndio yuko tayari.
 
Ni kweli ashituke huyo hapo hakuna mapenzi na hakuna maana yoyote ya kusema ale mzigo kisha asepe kwa maana haitamsaidia kitu chochote.


Bro vp? Mshikaji anakuambia alitoa hadi michozi!! Hivi unaijua michozi ya mtu mzima tena yakulilia mbunye!!? Hayo machungu atayapoza na nini!!?

Mkuu, patia dushelele hiyo Mutu, ikiwezekana 713 go ahead!! Then, over fastjet!!
 
hakuna mapenzi hapo, anatafuta sehemu ya kupoozea moyo wake. Kwa maneno mengine ni mpitaji, akipata mwingine atasepa.
 
Kwani analipiza nini? ilikuwa lazima makubali wakati ule? Binti alikuwa hajawa tayari sasa ndio yuko tayari.


Si ndiyo Mkuu wangu NATA? Demu sasa hivi yuko tiyari, haitakiwi amuumize kama yeye alivoumizwa kwa kumkataa!! Ni jukumu la Msela kuzama chumvini ili asimuumize, na kwasababu (pengine) jamaa alishapata kwingine asing'ang'anie!!

Au NATA ungependa amuumize kama alivoumizwa!!?
 
Si ndiyo Mkuu wangu NATA? Demu sasa hivi yuko tiyari, haitakiwi amuumize kama yeye alivoumizwa kwa kumkataa!! Ni jukumu la Msela kuzama chumvini ili asimuumize, na kwasababu (pengine) jamaa alishapata kwingine asing'ang'anie!!

Au NATA ungependa amuumize kama alivoumizwa!!?

Unapoomba kitu kuna kukubaliwa na kukataliwa, some time mtu anakukatalia kitu ili kukuepusha na kitu, tatizo huyu ameshindwa kueleza ni kwa nini yule binti alimkatalia, inawezekana alimwambia nipe muda, au alikuwa bado dent au alikuwa hajaamua kuwa na mpenzi sasa muda ulipofika akaingia katika file la walioomba akaaangalia cv zao, jamaa kaonekana good candidate.... Sasa jamaa anajishtukia si alikuwa anampenda ajaribu kurecall ile love kama ipo kama haipo achape mwendo haina haja ya kulipiza chochote mkuu STIDE !
 
Last edited by a moderator:
Yuko wapi lara 1 njoo huku best.. yale yaleeeeeee.
 
Last edited by a moderator:
usikute alikua na jamaa aliekua anampenda, akitegemea wangefika mbali.alivyotoswa huko hana kwa kujishikiza zaidi ya kwako..mwogope huyo ni majerui wa mapenzi.!
 
Back
Top Bottom