Na wewe ni shahidi hata kama hutaki kukubali ila moyo wako unakusuta
Jamaa wale waliokuwa wanazunguka na tarumbeta za hapa kazi tu siku hizi tarumbeta zao zimejaa mate kiasi kwamba hawawezi tena kusema ile slogan ya hapa kazi tu maana wanachokiona hawakiamini.
Siku zote walizani wakivaa kofia ile na zile shati za kijani kwao mambo yatakuwa mepesi na wapinzani hasa Lowassa atakipatapata, leo midomo imekula ndimu kiasi wanashindwa kutamka mbele ya
Jamaa wale waliokuwa wanazunguka na tarumbeta za hapa kazi tu siku hizi tarumbeta zao zimejaa mate kiasi kwamba hawawezi tena kusema ile slogan ya hapa kazi tu maana wanachokiona hawakiamini.
Siku zote walizani wakivaa kofia ile na zile shati za kijani kwao mambo yatakuwa mepesi na wapinzani hasa Lowassa atakipatapata, leo midomo imekula ndimu kiasi wanashindwa kutamka mbele ya