Hapa Dodoma: Mambo ni moto!

Crazy observation: Wabunge wengi vijana hasa wa upinzani wanakunywa sana pombe jamani.Wajirekebishe.Wasipofan ya hivyo,nitawaweka hapa majina na picha zao wakiwa chakari. Niko hapa karibu yao wakiwa wamelewa sana. Not good at all!

Wewe usione aibu au woga kuweka majina hat picha zao, ili wajirekebishe.
 
Walevi sugu wanajulikana: Kigwangala, Sendeka, Maji marefu, Airo, Komba, Zungu, Kilango, Pinda, Lameck, Tyson, Ngeleja, werema, Maige, Majimarefu na yule shoga wa kigoma mjini...

ahahahahahHahahahahahah pinda pia yupo ahahahahahah vipi kuhusu mwigulu chemba nalusinde ze kudadadadeki.
 
Tatizo pesa wanazolipwa ni nying mno mpaka wanazipeleka kwny pombe na mabinti.
nashauri hawa wabunge walevi na wapenda anasa hasa Nchemba watafutiwe washauri wa jinsi ya kutumia pesa zao kama ilivyowahi kutokea kwa Rooney.
Mkuu VUTA NI KUVUTE huwa unanikosha sana kwa post zako zilizojaa FULL UZALENDO!!!thanks mkuu!
 
Tunawajua wale wabunge wa CCM ambao hata kuchangia hawawezi hadi wakayatwike maji ya Pansiasi au Ilala. Wakijua tu wamo kwenye list ya wachangiaji wanakimbilia baa kwanza. Mbona wanajulikana hapa Dom. Ndiyo maana huwa wanaitikia ndiyoooo hata kwa vitu wasivyovijua. Mambo mengi huchangia.

kwa mchango wa aina hii heri ungejizuia kuandika ie ungekaa kimya
 
Sasa niko Dodoma 'kikazi' kwa shughuli za chama yaani CCM. Hapa Dodoma,pamoja na kufuatilia nyendo za Wabunge wa CCM,lakini pia tunazifuatilia nyendo za Wabunge wa upinzani hasa wa CHADEMA. Tumearifiwa hapa kuwa Wakili Msomi Tundu Antipas Mughway Lissu(Mbunge) ametua Dodoma na nyaraka mbalimbali zinazogusa 'skendo' za wenye nchi.

Katika pitapita zetu na kupitia taarifa na nyaraka,tumegundua kuwa Ofisi ya Spika wa Bunge haina amani na Wabunge wa CHADEMA. Hivyobasi,Ofisi ya Spika imeomba msaada wa Serikali-hasa wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali-Jaji na Wakili Msomi Fredrick Mwita Werema na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu(Uratibu na Bunge)-Ndugu William Lukuvi kudhibiti kombora lolote la CHADEMA. Pia,wabunge wengine wa upinzani wasiotokana na CHADEMA wanaandaliwa zawadi kama wakitoa msaada wa kiudhibiti.

Hapa Dodoma,habari kuu ni kuwafunga midomo Wabunge wa CHADEMA na wanaofanana nao,ili kulinda taswira ya Serikali ya CCM. Sifa kemkem zinamwagwa kwa Spika Anne Makinda na uongozi wa Bunge kwa ujumla kwa kupitisha kanuni mpya zitakazopunguza presha kwa kiti cha Spika na Serikali wakati wa kujadilina kupitisha Bajeti ya Serikali.Kimsingi,wapinzani wamejipanga na kupangika.Vivyo hivyo kwa Serikali na Wabunge wa chama tawala. Patakuwa padogo hapa Dodoma.Stay tuned!

Crazy observation: Wabunge wengi vijana hasa wa upinzani wanakunywa sana pombe jamani.Wajirekebishe.Wasipofanya hivyo,nitawaweka hapa majina na picha zao wakiwa chakari. Niko hapa karibu yao wakiwa wamelewa sana. Not good at all!

Kila kitu kitakachojiri hapa ambacho watanzania watapaswa kukijua,watakijua tena kwa haraka sana. Usiku mwema!

VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar es Salaam(sasa Dodoma)

hapo kwenye bold ni hawa magaidi???
 
pombe na wabunge..
halafu utasikia eti wako katika hatari ya kutekwa na kuwekewa sumu
hii nchi hii...

Kwani siyo binadamu? wacheni wanye ama nyie waJF ndio ruksa? mbona mnakunywa? ucheni ushamba
 
Sasa niko Dodoma 'kikazi' kwa shughuli za chama yaani CCM. Hapa Dodoma,pamoja na kufuatilia nyendo za Wabunge wa CCM,lakini pia tunazifuatilia nyendo za Wabunge wa upinzani hasa wa CHADEMA. Tumearifiwa hapa kuwa Wakili Msomi Tundu Antipas Mughway Lissu(Mbunge) ametua Dodoma na nyaraka mbalimbali zinazogusa 'skendo' za wenye nchi.

Katika pitapita zetu na kupitia taarifa na nyaraka,tumegundua kuwa Ofisi ya Spika wa Bunge haina amani na Wabunge wa CHADEMA. Hivyobasi,Ofisi ya Spika imeomba msaada wa Serikali-hasa wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali-Jaji na Wakili Msomi Fredrick Mwita Werema na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu(Uratibu na Bunge)-Ndugu William Lukuvi kudhibiti kombora lolote la CHADEMA. Pia,wabunge wengine wa upinzani wasiotokana na CHADEMA wanaandaliwa zawadi kama wakitoa msaada wa kiudhibiti.

Hapa Dodoma,habari kuu ni kuwafunga midomo Wabunge wa CHADEMA na wanaofanana nao,ili kulinda taswira ya Serikali ya CCM. Sifa kemkem zinamwagwa kwa Spika Anne Makinda na uongozi wa Bunge kwa ujumla kwa kupitisha kanuni mpya zitakazopunguza presha kwa kiti cha Spika na Serikali wakati wa kujadilina kupitisha Bajeti ya Serikali.Kimsingi,wapinzani wamejipanga na kupangika.Vivyo hivyo kwa Serikali na Wabunge wa chama tawala. Patakuwa padogo hapa Dodoma.Stay tuned!

Crazy observation: Wabunge wengi vijana hasa wa upinzani wanakunywa sana pombe jamani.Wajirekebishe.Wasipofanya hivyo,nitawaweka hapa majina na picha zao wakiwa chakari. Niko hapa karibu yao wakiwa wamelewa sana. Not good at all!

Kila kitu kitakachojiri hapa ambacho watanzania watapaswa kukijua,watakijua tena kwa haraka sana. Usiku mwema!

VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar es Salaam(sasa Dodoma)

safi sana mzee wa vuta-nikuvute. Nikukumbushe tu kitu hapa jamvini huhitaji kuficha wala kuomba ruhusa kuweka mambo hadharani kama una picha za hao walevi zitupie tu sisi wapiga kura tutajua la kuwafanya
 
Umesomea kufuatilia mambo ya watu ?unalipwa na nani?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
nashauri hawa wabunge walevi na wapenda anasa hasa Nchemba watafutiwe washauri wa jinsi ya kutumia pesa zao kama ilivyowahi kutokea kwa Rooney.
Mkuu VUTA NI KUVUTE huwa unanikosha sana kwa post zako zilizojaa FULL UZALENDO!!!thanks mkuu!

siunajua utaifa kwanza siasa (ushabiki wa vyama) baadae
 
Back
Top Bottom