Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,879
Mh..nipo ofisini kazi si nyingi kivile,
Tunapata early tea hapa niko na immediate bosi wangu na wadada wawili..
Topic of discussion: Mdada huyu mmoja ana mume yu masomoni Dodoma. Sasa wanamuuliza kama huwa anakuja akasema mara chache chache maana masomo yamebana. Wakaanza kumuambia anaibiwa. Then huyu mdada mmoja akamuuliza, "Mumeo ni mlevi au anavuta sigara?"
akajibu hapana...basi ndo kabisaaaa...waka-conclude anaibiwa!
Sasa jamani, hivi kuna ukweli kiasi gani kama mtu si mlevi na si mvutaji basi anapenda chini!??? They seem to be so convinced about it..
Mi nashangaa mbona babu Asprin, shem Kaizer, kaka et al ni walevi ila chini wanapenda sana...kuna ukweli kiasi gani!??
Tunapata early tea hapa niko na immediate bosi wangu na wadada wawili..
Topic of discussion: Mdada huyu mmoja ana mume yu masomoni Dodoma. Sasa wanamuuliza kama huwa anakuja akasema mara chache chache maana masomo yamebana. Wakaanza kumuambia anaibiwa. Then huyu mdada mmoja akamuuliza, "Mumeo ni mlevi au anavuta sigara?"
akajibu hapana...basi ndo kabisaaaa...waka-conclude anaibiwa!
Sasa jamani, hivi kuna ukweli kiasi gani kama mtu si mlevi na si mvutaji basi anapenda chini!??? They seem to be so convinced about it..
Mi nashangaa mbona babu Asprin, shem Kaizer, kaka et al ni walevi ila chini wanapenda sana...kuna ukweli kiasi gani!??
Last edited by a moderator: